francis kibiki
JF-Expert Member
- Jul 8, 2018
- 476
- 521
Wadau nimeamua kubaliana na hali halisi, nampenda ndio ila ngoja nitafute pesa kwanza maswala ya mahusiano niweke kapuni kwanzaa, ni mwanamke ambae nampenda sana ni mzuri sana sijawai ona mwanamke mwingine zaid yake ila kila nikifikilia naonaa ntakimbiwa then niumie mim , wenye magar na pesa zao naona wanafukuzia sana bi dada nakupenda sana ila naona nimelima shamba la miwa katikati ya shule aiseee