Maisha: Mambo 6 juu ya ukweli wa maisha yetu

Maisha: Mambo 6 juu ya ukweli wa maisha yetu

Mzee wa kusawazisha

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2016
Posts
1,601
Reaction score
1,180
Namba 1. mtu pekee(rafiki) halisi ni mama yako mzazi tu

Namba 2: fukara hana rafiki

Namba 3: siku zote unaempenda zaidi ndie atakuja kukuumiza zaidi

Namba 4: ukiwa na furaha utaburudika muziki Lakini ukiwa na huzuni utaelewa shahiri

Namba 5: watu wanaheshimu pesa na sio binadam

Namba 6: katika maisha mambo mawili watu watakujua mvumilivu wako ukiwa huna kitu na tabia yako ukiwa na pesa

Namba 7: ukweli ni rahisi lakini unapoanza kuulezea ndipo unapoanza ugumu.
 
1. HAPANA.

Ni wewe mwenyewe, mtu yeyote anaweza kubadirika akasaliti mtazao wako kwake muda wowote, ila ni wewe tu ndio una taarifa na kile unachopanga kukifanya dkk chache mbeleni.
 
Ya tatu inaniuma sana, rafiki ninaemuamini na kumpa siri zangu kumbe alikuwa ananifanyia ushirikina. Mara anipe suruali inayofanana na ya kwake na baadae nguo kupotea kiajabu. Mimi nilifurahiya tu kama zuzu. Ila hakufanikiwa na ashindwe!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1.HAPANA.

ni wewe mwenyewe,mtu yeyote anaweza kubadirika akasaliti mtazao wako kwake muda wowote,ila ni wewe tu ndio una taarifa na kile unachopanga kukifanya dkk chache mbeleni.
Kiufupi apo ni rafiki mkuu then nipe jibu
 
Namba 1. mtu pekee(rafiki) halisi ni mama yako mzazi tu

Namba 2: fukara hana rafiki

Namba 3: siku zote unaempenda zaidi ndie atakuja kukuumiza zaidi

Namba 4: ukiwa na furaha utaburudika muziki Lakini ukiwa na huzuni utaelewa shahiri

Namba 5: watu wanaheshimu pesa na sio binadam

Namba 6: katika maisha mambo mawili watu watakujua mvumilivu wako ukiwa huna kitu na tabia yako ukiwa na pesa

Namba 7: ukweli ni rahisi lakini unapoanza kuulezea ndipo unapoanza ugumu.
Hapo kwenye namba 1 ni kwanini baba haukumuweka au haukuwahi kupata malezi bora kutoka kwa mzazi wa kiume pia?
Angalau ungeweka A na B.. Kwamba
A) mama yako mzazi.
B) baba yako mzazi.
 
1.HAPANA.

ni wewe mwenyewe,mtu yeyote anaweza kubadirika akasaliti mtazao wako kwake muda wowote,ila ni wewe tu ndio una taarifa na kile unachopanga kukifanya dkk chache mbeleni.
Kama ni hivyo basi hata wewe mwenyew unaweza kubadili mtazamo wako mwenyew.
Wangapi hupanga mipango mizuri ya kimaisha, lkn akinyaka visent kidogo mipango yote anauwa. Yan inakuwa ni mwendo wa chupi, maji ya mende na kila weekend haumkosi kweny kumbi za taarab.
Zikiisha anaanza tena kujilaumu mwenyew.
 
1.HAPANA.

ni wewe mwenyewe,mtu yeyote anaweza kubadirika akasaliti mtazao wako kwake muda wowote,ila ni wewe tu ndio una taarifa na kile unachopanga kukifanya dkk chache mbeleni.
Kabisa kabisaa kabisaa
 
Namba 1. mtu pekee(rafiki) halisi ni mama yako mzazi tu

Namba 2: fukara hana rafiki

Namba 3: siku zote unaempenda zaidi ndie atakuja kukuumiza zaidi

Namba 4: ukiwa na furaha utaburudika muziki Lakini ukiwa na huzuni utaelewa shahiri,

Namba 5: watu wanaheshimu pesa na sio binadam

Namba 6: katika maisha mambo mawili watu watakujua mvumilivu wako ukiwa huna kitu na tabia yako ukiwa na pesa

Namba 7: ukweli ni rahisi lakini unapoanza kuulezea ndipo unapoanza ugumu.
🤝🤝🤝
 
Back
Top Bottom