Maisha haya kweli hakuna anayeijua kesho yake

Amefanyanya kwa kadiri alivyoamini kuwa atafanikiwa....kuna mafanikio ameyapata ingawa yameacha vidonda kwa wengine ...kuna blunder alizifanya na zimeacha neema kwa wengine.Basi tumuombee kwa mwenyezi Mungu na Mungu azipokee kazi zake njema huko alipo kwani kifo ndio mwisho wa uhai wa kila mmoja
Acha kumtetea mkuu. Alidhuru wengi sana. Kiujumla hakuna mizania yoyote.
 
Nawaza na kuwazua sipati jibu. Ndani ya siku 100. Tanzania yametokea mambo ambayo sijui "_aliyekuwa na nchi akiamka atasemaje.
Hebu ona hii orodha:

1) CHADEMA wameshinda kesi hivyo 350 miilion zirudishwe
2) Barakoa mpaka viunga vya ikulu
3) Sabaya yupo jela
4) Mdude kaachiwa
5) Kufundisha Uzalendo na historia ya nchi! Nooooo
6) ATC hasara ya kufufuka MTU
7) Mpaka na Kenya upo wazi
8) Manji yupo
9) Bandari ya Bagamoyo "mchakato wa kupata mwekezaji huoooo
10) Waliopewa madaraka kwa ukanda akina Bashiru chaliiiiii Doto ondoaaaa
11) Bashite hana kazi
12) Madaraja yamepanda
13) Ajira zimeachiwa
14) Kukosoa ruksa
15) Deni la taifa ni balaaa
16) Online TV ruksa
17) Wabunge wa CCM walijadili uporwaji wa pesa za wafanyabiashara

Kiukweli tuacheni unafiki najua wengi silaha ya mjinga ni unafiki

Jamaa alikua anatupeleka chaka bovu!
Umesahau sasa hivi Tz hamna mwenye njaa wote tuna ajira na tunafaidi nchi ya maziwa na asali.
 
Nawaza na kuwazua sipati jibu. Ndani ya siku 100. Tanzania yametokea mambo ambayo sijui "_aliyekuwa na nchi akiamka atasemaje.
Hebu ona hii orodha:

1) CHADEMA wameshinda kesi hivyo 350 miilion zirudishwe
2) Barakoa mpaka viunga vya ikulu
3) Sabaya yupo jela
4) Mdude kaachiwa
5) Kufundisha Uzalendo na historia ya nchi! Nooooo
6) ATC hasara ya kufufuka MTU
7) Mpaka na Kenya upo wazi
8) Manji yupo
9) Bandari ya Bagamoyo "mchakato wa kupata mwekezaji huoooo
10) Waliopewa madaraka kwa ukanda akina Bashiru chaliiiiii Doto ondoaaaa
11) Bashite hana kazi
12) Madaraja yamepanda
13) Ajira zimeachiwa
14) Kukosoa ruksa
15) Deni la taifa ni balaaa
16) Online TV ruksa
17) Wabunge wa CCM walijadili uporwaji wa pesa za wafanyabiashara

Kiukweli tuacheni unafiki najua wengi silaha ya mjinga ni unafiki

Jamaa alikua anatupeleka chaka bovu!
umesomeka vema kiongozi yawezekana huu ukawa ujumbe bora kabisa kwa hii wiki.
 
Nawaza na kuwazua sipati jibu. Ndani ya siku 100. Tanzania yametokea mambo ambayo sijui "_aliyekuwa na nchi akiamka atasemaje.
Hebu ona hii orodha:

1) CHADEMA wameshinda kesi hivyo 350 miilion zirudishwe
2) Barakoa mpaka viunga vya ikulu
3) Sabaya yupo jela
4) Mdude kaachiwa
5) Kufundisha Uzalendo na historia ya nchi! Nooooo
6) ATC hasara ya kufufuka MTU
7) Mpaka na Kenya upo wazi
8) Manji yupo
9) Bandari ya Bagamoyo "mchakato wa kupata mwekezaji huoooo
10) Waliopewa madaraka kwa ukanda akina Bashiru chaliiiiii Doto ondoaaaa
11) Bashite hana kazi
12) Madaraja yamepanda
13) Ajira zimeachiwa
14) Kukosoa ruksa
15) Deni la taifa ni balaaa
16) Online TV ruksa
17) Wabunge wa CCM walijadili uporwaji wa pesa za wafanyabiashara

Kiukweli tuacheni unafiki najua wengi silaha ya mjinga ni unafiki

Jamaa alikua anatupeleka chaka bovu!
siku 100 ni nyingi mno.

bado lockdown haiko mbali nayo inatakiwa iwe imetokea kabla ya siku 150.
 
Actually kesho yako unaijua kutokana na unachofanya leo....

Wewe kunywa pombe leo, kesho lazima utaamka na hangover...
Ukichumia juani kuna uwezekano utalia kivulini (ingawa sio guarantee)...

Kuhusu kifo ni inevitable wote tutakufa (yaani kesho yetu wote eventually ni kifo)

Moral of the Story Live your Today...., Na mara nyingi ukipanda mchicha utavuna mchicha hata kama bangi zikiota basi ujue kuna mdau kafanya hujuma....
 
Mkono wa mkwere huo..


Hii furaha tutailipia kivingine tu...



Timu imefufuka upyaaaa...

Baniani mbaya kiatu chake dawa wanasema....
 
Samia na ccm mbele kwa mbele
Ccm ya haki! Hii ndiyo tuliyoisubiri kwa miaka dahari,angalau leo tunaanza kuona machweo baada ya kiza kinene cha miaka na miaka,ccm mpya hoyeeeee,wachumia tumbo tunawachora tu,hongera Mama.
 
Back
Top Bottom