Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 24,919
- 33,503
Unapinga?MWE..!
Unapinga?MWE..!
napingua.Unapinga?
Kwani ccm Samia na mwenda zake kuna utofauti wowote?Mwendazake umeshaanza kumsahau au bado?
Sasa je! Mi 10 tena kwa mama na ccmnapingua.
lakini sio kwa FISIEMSasa je! Mi 10 tena kwa mama na ccm
Acha kumtetea mkuu. Alidhuru wengi sana. Kiujumla hakuna mizania yoyote.Amefanyanya kwa kadiri alivyoamini kuwa atafanikiwa....kuna mafanikio ameyapata ingawa yameacha vidonda kwa wengine ...kuna blunder alizifanya na zimeacha neema kwa wengine.Basi tumuombee kwa mwenyezi Mungu na Mungu azipokee kazi zake njema huko alipo kwani kifo ndio mwisho wa uhai wa kila mmoja
Fisiem ni nini?lakini sio kwa FISIEM
Umesahau sasa hivi Tz hamna mwenye njaa wote tuna ajira na tunafaidi nchi ya maziwa na asali.Nawaza na kuwazua sipati jibu. Ndani ya siku 100. Tanzania yametokea mambo ambayo sijui "_aliyekuwa na nchi akiamka atasemaje.
Hebu ona hii orodha:
1) CHADEMA wameshinda kesi hivyo 350 miilion zirudishwe
2) Barakoa mpaka viunga vya ikulu
3) Sabaya yupo jela
4) Mdude kaachiwa
5) Kufundisha Uzalendo na historia ya nchi! Nooooo
6) ATC hasara ya kufufuka MTU
7) Mpaka na Kenya upo wazi
8) Manji yupo
9) Bandari ya Bagamoyo "mchakato wa kupata mwekezaji huoooo
10) Waliopewa madaraka kwa ukanda akina Bashiru chaliiiiii Doto ondoaaaa
11) Bashite hana kazi
12) Madaraja yamepanda
13) Ajira zimeachiwa
14) Kukosoa ruksa
15) Deni la taifa ni balaaa
16) Online TV ruksa
17) Wabunge wa CCM walijadili uporwaji wa pesa za wafanyabiashara
Kiukweli tuacheni unafiki najua wengi silaha ya mjinga ni unafiki
Jamaa alikua anatupeleka chaka bovu!
umesomeka vema kiongozi yawezekana huu ukawa ujumbe bora kabisa kwa hii wiki.Nawaza na kuwazua sipati jibu. Ndani ya siku 100. Tanzania yametokea mambo ambayo sijui "_aliyekuwa na nchi akiamka atasemaje.
Hebu ona hii orodha:
1) CHADEMA wameshinda kesi hivyo 350 miilion zirudishwe
2) Barakoa mpaka viunga vya ikulu
3) Sabaya yupo jela
4) Mdude kaachiwa
5) Kufundisha Uzalendo na historia ya nchi! Nooooo
6) ATC hasara ya kufufuka MTU
7) Mpaka na Kenya upo wazi
8) Manji yupo
9) Bandari ya Bagamoyo "mchakato wa kupata mwekezaji huoooo
10) Waliopewa madaraka kwa ukanda akina Bashiru chaliiiiii Doto ondoaaaa
11) Bashite hana kazi
12) Madaraja yamepanda
13) Ajira zimeachiwa
14) Kukosoa ruksa
15) Deni la taifa ni balaaa
16) Online TV ruksa
17) Wabunge wa CCM walijadili uporwaji wa pesa za wafanyabiashara
Kiukweli tuacheni unafiki najua wengi silaha ya mjinga ni unafiki
Jamaa alikua anatupeleka chaka bovu!
siku 100 ni nyingi mno.Nawaza na kuwazua sipati jibu. Ndani ya siku 100. Tanzania yametokea mambo ambayo sijui "_aliyekuwa na nchi akiamka atasemaje.
Hebu ona hii orodha:
1) CHADEMA wameshinda kesi hivyo 350 miilion zirudishwe
2) Barakoa mpaka viunga vya ikulu
3) Sabaya yupo jela
4) Mdude kaachiwa
5) Kufundisha Uzalendo na historia ya nchi! Nooooo
6) ATC hasara ya kufufuka MTU
7) Mpaka na Kenya upo wazi
8) Manji yupo
9) Bandari ya Bagamoyo "mchakato wa kupata mwekezaji huoooo
10) Waliopewa madaraka kwa ukanda akina Bashiru chaliiiiii Doto ondoaaaa
11) Bashite hana kazi
12) Madaraja yamepanda
13) Ajira zimeachiwa
14) Kukosoa ruksa
15) Deni la taifa ni balaaa
16) Online TV ruksa
17) Wabunge wa CCM walijadili uporwaji wa pesa za wafanyabiashara
Kiukweli tuacheni unafiki najua wengi silaha ya mjinga ni unafiki
Jamaa alikua anatupeleka chaka bovu!
Ccm ya haki! Hii ndiyo tuliyoisubiri kwa miaka dahari,angalau leo tunaanza kuona machweo baada ya kiza kinene cha miaka na miaka,ccm mpya hoyeeeee,wachumia tumbo tunawachora tu,hongera Mama.Samia na ccm mbele kwa mbele