Kweli kabisa....yaani ndio burudani yenyewe....siwaelewagi kabisa watu wanaohangaika kutafuta pesa alafu wanakuwa na mke mmoja.Sehemu zozote ambazo idadi ya wanawake ni ndogo kuliko lazima pawe panaboa tu
Ata baa ambayo haina mademu wateja huwaga ni wachache.
Wanawake wananipa furaha sana.
Kabisa mkuuSehemu zozote ambazo idadi ya wanawake ni ndogo kuliko lazima pawe panaboa tu
Ata baa ambayo haina mademu wateja huwaga ni wachache.
Wanawake wananipa furaha sana.
Loh "sisi wenye night shift Tunapenda Tuchanganyike"Kabisa mkuu
Na sehemu yoyote bila kuwako mwanaume walau mmoja hakuna usalama wala amani
Hata makazini huku sisi wenye night shift tunapenda tuchanganyike😁😁😁😁😁😁
Mbona unasikitika mkuu. Anaweza kuletwa mgonjwa kumhamisha toka kwenye machela hadi kitandani kwa wanawake ni shughuli pevuLoh "sisi wenye night shift Tunapenda Tuchanganyike"
😭😭😭😭
Yaani Mimi ntakuchapa ili tu kuikomesha CCMKabisa mkuu
Na sehemu yoyote bila kuwako mwanaume walau mmoja hakuna usalama wala amani
Hata makazini huku sisi wenye night shift tunapenda tuchanganyike😁😁😁😁😁😁
Ushaanza kulewa wewee, inuka nenda kalale mkuu.
Let's meet at the top, cheers
Nina mpenzi ana hizo night shifts 😭😭Mbona unasikitika mkuu. Anaweza kuletwa mgonjwa kumhamisha toka kwenye machela hadi kitandani kwa wanawake ni shughuli pevu
Wakiwepo wanaume huwa ni msaada na salama zaidi
Pole mkuu, kazi ni kazi tuuNina mpenzi ana hizo night shifts 😭😭
Tena tabu isiyovumilika na kusahaurika mpaka kuzimu...Wanawake utawafurahia ukikaa nao kwa akili.
Kinyume na hapo utapata tabu sana.
Eh waaa, tar 28 kampigie magu kura! Mnaendana kabisa hasa wakiwa weupe!Sehemu zozote ambazo idadi ya wanawake ni ndogo kuliko lazima pawe panaboa tu
Ata baa ambayo haina mademu wateja huwaga ni wachache.
Wanawake wananipa furaha sana.