RASCO BOY
JF-Expert Member
- Jul 29, 2018
- 428
- 485
Kangi kama Ameweza Kuuliza kwa nini Dereva wa Lissu hakupigwa risasi hata moja na risasi zote zikampata Lissu pekee nadhani hawezi kushindwa kuuliza kwanini dereva wa Mwigulu Mchemba hajaumia kwenye ajali na badala yake kaumia Mwigulu pekee. Kama si mnafiki naamini atauliza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app