Grealish10
Senior Member
- Mar 25, 2020
- 104
- 295
Habari ndugu zangu,
Asante kwa wote mliolia nami katika kifo cha binti yangu mpendwa aliefariki kwa uzembe wa watu wa afya, faraja yenu ilikuwa tiba sana sijaamini JamiiForums kuna watu wana roho nzuri hivi na wanaumia kwa matatizo ya watu.
Maisha baada ya maziko yamekuwa magumu sana muda wote nalia nimeshindwa kurejea kawaida, kwa sasa natamani kufa tu maana naona giza kuna njia yoyote ya kusaidia kuondoka hali niliyonayo?
Naishi peke yangu mama yake tulikuwa hatukai pamoja ila yeye baada ya msiba amehama mkoa kabisa.
Pia soma - Kifo cha mwanangu kipenzi kimetokana na uzembe
Asante kwa wote mliolia nami katika kifo cha binti yangu mpendwa aliefariki kwa uzembe wa watu wa afya, faraja yenu ilikuwa tiba sana sijaamini JamiiForums kuna watu wana roho nzuri hivi na wanaumia kwa matatizo ya watu.
Maisha baada ya maziko yamekuwa magumu sana muda wote nalia nimeshindwa kurejea kawaida, kwa sasa natamani kufa tu maana naona giza kuna njia yoyote ya kusaidia kuondoka hali niliyonayo?
Naishi peke yangu mama yake tulikuwa hatukai pamoja ila yeye baada ya msiba amehama mkoa kabisa.
Pia soma - Kifo cha mwanangu kipenzi kimetokana na uzembe
