Maisha baada ya kufa

Hao wengine eti watakuwa wanaomba kwaya ,kusifu na kuabudu na kustarehe japo hawajaelezq watastarehe vipi 😆😆
 
Usilete hadithi za kufirika wewe, ukifa umekufa tu kama wanyama wengine na unapotea humuhumu duniani, hakuna maisha tena! Acha kudanganya watu
 
Maisha baada ya kifo ni story za uongo.
Furahia maisha hapa duniani kadri uwezavyo kabla hujafa, ukishakufa kila kitu kwako kimekufa.

Kama usivyojua chochote cha kabla ya kuzaliwa kwako, pia hutajua chochote baada ya kufa kwako.
 
Usilete hadithi za kufirika wewe, ukifa umekufa tu kama wanyama wengine na unapotea humuhumu duniani, hakuna maisha tena! Acha kudanganya watu
Jitihada za ubongo wa binadamu kukataa mwisho wa maisha yake hupelekea kutengeneza nadharia nyingi za kila aina: mbinguni/peponi, jehanamu, kuzaliwa tena (reincarnation) na kadhalika. Akili haitaki kuamini ukweli inabuni hadithi za kujifariji!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…