Kiukwel siwezi ishi Bila kula nyama come on mi SI sungura bana!!,kunenepa SI nenepi natandika tuh vyote kwa mpigo mtani wananita Gmanyama huu umarufu nimejizolea pale napofika slaughter area nakuwambia wanipe moyo,mapafu,ubongo,maini,na takataka zote kwanzia ulimi Hadi jivu nene