Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,113
- 18,329
1. Aliyepewa u-DAS alikua ameandaliwa mapema.
2. Kufukuzwa kwa DAS Mwampamba hakuhusiani kabisa na wake za watu wa Kisarawe.
3. Wakati wote walijifanya hawamjui sana Jokate.
4. Huyu dada alijua mapema kabisa leo anapewa u-DAS.
Mambo mengine tuwaachie lakini ukweli huwa hauachi kujiweka peupe. Dalili zote zilikua zinaonekana.
Siku nyingine leteni movi nzuri kidogo.
Jaffo mtoto wa seremala nakukubali sana, mzee baada ya kustafu yamkini atahamia Kisarawe.
2. Kufukuzwa kwa DAS Mwampamba hakuhusiani kabisa na wake za watu wa Kisarawe.
3. Wakati wote walijifanya hawamjui sana Jokate.
4. Huyu dada alijua mapema kabisa leo anapewa u-DAS.
Mambo mengine tuwaachie lakini ukweli huwa hauachi kujiweka peupe. Dalili zote zilikua zinaonekana.
Siku nyingine leteni movi nzuri kidogo.
Jaffo mtoto wa seremala nakukubali sana, mzee baada ya kustafu yamkini atahamia Kisarawe.