Maigizo ya Kisarawe leo 28th June 2020. Kila kitu kilipangwa

Tabutupu

JF-Expert Member
Nov 26, 2010
13,072
18,258
1. Aliyepewa u-DAS alikua ameandaliwa mapema.

2. Kufukuzwa kwa DAS Mwampamba hakuhusiani kabisa na wake za watu wa Kisarawe.

3. Wakati wote walijifanya hawamjui sana Jokate.

4. Huyu dada alijua mapema kabisa leo anapewa u-DAS.

Mambo mengine tuwaachie lakini ukweli huwa hauachi kujiweka peupe. Dalili zote zilikua zinaonekana.

Siku nyingine leteni movi nzuri kidogo.

Jaffo mtoto wa seremala nakukubali sana, mzee baada ya kustafu yamkini atahamia Kisarawe.

IMG-20200628-WA0006.jpeg
20200628_181515.jpeg
 
16 Reactions
Reply
Back
Top Bottom