Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 19,408
- 25,925
Kwann vijana wa chadema wakitimkia na kwenda ccm lazima walambe teuzi huku vijana wa lumumba buku saba wakiendelea kubuguia vumbi la kongo ?2013 Mtela Mwampamba na Naibu Waziri Mstaafu Juliana Shonza walifukuzwa Bavicha na kufutiwa uanachama wa CDM baada ya kubainika walikua wakifanya kazi ya nyoka.