GE2025 Maigizo Tanzania: CCM-A Vs CCM-B gharama Billion 700!

GE2025 Maigizo Tanzania: CCM-A Vs CCM-B gharama Billion 700!

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
9,269
Reaction score
13,895
Wana mtandao wa CCM wamefanikiwa kuteka taifa letu

Sasa kwa gharama ya bilioni 700 za walala hoi muda ambao hakuna pesa za kuwalipa makandarasi wa barabara na reli nchi inaenda kwenye chaguzi za maigizo za chama tawala na chama sindikizi ambacho kilitengenezwa na mwana mtandao asilia

Uchaguzi ambao Watanzania wameshajua ni maigizo ni wa aibu na utafuta heshima ya nchi na Raisi Samia ambaye ameonyesha kutojiamini.

CCM-B ni ACT wanzalendo
 
Kikwete anaamini dunia imesimama? Huyu mtu anajidanganya kweli.
Ajiulize ni katika misiba gani huko nyuma akiwa raisi watu walishangilia kifo?
 
Kuna shule zina Mazingira ya hovyo, kuna vijiji havina umeme, maji, kuna wagonjwa Hata mlo mmoja hawawezi kuafford, kuna barabara hazipitiki n.k Lol!

Huu ndo uwezo wa CCM, B700 October wakatiki na akili zako.

Wananchi tusipochukua maamuzi ya kibabe kuwatoa hao matapeli kwenye system, safari itakua long story kufika nchi ya Ahadi!
 
Back
Top Bottom