Mahusiano yananipa changamoto

unajua wachaga nawapenda kwa sababu ya chachu ya maendeleo, currently am employed but am not satisfied bado ni nadream za biashara haswa kwenye nyanja ya madini,
umeanza vizuri ukaaribu hapa ukitaka kupata mke wacha aje kama muujiza.

Ndoa nyingi zilizodumu waliwapata wenza wao kwa njia ambayo hawakutegemea.

Nb. Mke utakae muoa atakuwa na sifa kuu tatu
1. Utampata mazingira ambayo utarajii kukutana nae
2. Hutompenda mwanzoni
3. Hastahili kujua wewe ni nan at first.

mwisho mkumbushe mungu mke unaemtaka.
 
Mkuu hata mimi yananipa changamoto tutafutane tusaidiane kutatua hizo changamoto
 
umeanza vizuri ukaaribu hapa ukitaka kupata mke wacha aje kama muujiza.

Ndoa nyingi zilizodumu waliwapata wenza wao kwa njia ambayo hawakutegemea.

Nb. Mke utakae muoa atakuwa na sifa kuu tatu
1. Utampata mazingira ambayo utarajii kukutana nae
2. Hutompenda mwanzoni
3. Hastahili kujua wewe ni nan at first.

mwisho mkumbushe mungu mke unaemtaka.
yaani umeongea ukweli hapo
 
Habari zenu wakuu,
Baada ya kuwa off relationship kwa takribani a year now hii ni kutokana na kuumizwa na mtu niliyekuw ktk mahusiano kwa takribani 2 years na ambaye kwa kweli nilitegemea tungekula nae kiapo, Mojawapo ya sababu kubwa ya yeye na mimi kuachana ni kuwa she was too demanding 8 She was pressurizing tuoane mapema jambo ambalo mi sikuwa tayari kulifanya kwa kipindi kile kwa sababu kuna mambo niliona kama vile sipo sawa ktk maisha kwani kuingia ktk ndoa inahitaji kujiandaa kiakili na kimwili vizuri,
But for now nikijitathmini najiona nipo tayari kabisa kuingia ktk ndoa kwani vijicourse vilivyokuwa vina nikeep bize nimeshavimaliza, kifedha sipo vibaya kushindw kuhandle family issues,sasa changamoto ninazopata ni hizi zifuatazo,

1)kila nyakati nikitaka kuingia ktk mahusiano Nahisi kushindwa kuwaamini hawa wa viumbe wa kike i think ni kutokana na historia ya nyuma na sijajua natokaje katk hilo,

2)Mazingira niliyopo( watu wanaonizunguka co-workers simulizi zao juu ya mahusiano zimekuwa so negative hivyo kuchangia zaidi tatizo namba 1 hapo juu.

3)Hivi inawezekana kweli kumpata mdada mweye moyo mwema na upendo wa dhati hata kama na yeye aliwahi pitia kipindi kigumu ktk mahusiano? mnawapataje hawa watu coz mi na face changamoto on hw to get those ladies.

4)Moyo wangu unawapenda sana wadada wa kichaga but marafiki zangu wananichallenge sana
kuhusu hao watu, mi naamini tabia ni za mtu binafsi na sio kabila la mtu,

Ndugu zangu wa jf najua kuna watu humu wameptia mengi na pocbo changamoto zangu kuna wengine wameshazivuka hivyo naombeni msaada wa mawazo wa namana ya kupata mahusiano yaliyo bora na imara, Nimedhamiria mwaka huu kuwa na mahusiano yatakayopelekea ndoa sitaki kuptezeana muda,

duuuuh pole sana aisee ..yaan muda ulikokuwa kwenye uhusiano na kupata maumivu haujapishana na wa kwangu..dada kichaga niko hapa ..teeh teeh wasikutishe hao workmate .
 
Muombe Mungu,japo yataka moyo. Ila mie nilisha hachana nayo ata kuyafikiria ! Chakushukuru naona siku zinaenda bila tatizo. Ndo uwa nasemaga Ahsante Mungu.
 
umeanza vizuri ukaaribu hapa ukitaka kupata mke wacha aje kama muujiza.

Ndoa nyingi zilizodumu waliwapata wenza wao kwa njia ambayo hawakutegemea.

Nb. Mke utakae muoa atakuwa na sifa kuu tatu
1. Utampata mazingira ambayo utarajii kukutana nae
2. Hutompenda mwanzoni
3. Hastahili kujua wewe ni nan at first.

mwisho mkumbushe mungu mke unaemtaka.

Umeongea kitu ya maana sana mkuu..kama atafuata ushauri wako..hatoumiza kichwa atatulia na kumuomba Mungu na kuyaruhusu maisha mengine yaendelee..ukioa kwa sababu agemates wako wote wameoa utateseka miaka mianane mkuu
 
Ila kwa upande mwingine nilicho jifunza ,kosa la mtu 1 lisikuvunje moyo! Mana utawahukumu wengine kwa makosa yasiyo wahusi si wote wabovu! Utampata mwema na utashangaa mie mwanzo nilikuwa nafikiri labda ni umri lakini lah si kweli ,waweza kuta mtu umri mkubwa lakini hajitambui kimahusiano,yupo yupo tu madamu yupo waweza sema labda kaubwa kwa lengo la kuwaumiza wenzie.
 
Habari zenu wakuu,
Baada ya kuwa off relationship kwa takribani a year now hii ni kutokana na kuumizwa na mtu niliyekuw ktk mahusiano kwa takribani 2 years na ambaye kwa kweli nilitegemea tungekula nae kiapo, Mojawapo ya sababu kubwa ya yeye na mimi kuachana ni kuwa she was too demanding 8 She was pressurizing tuoane mapema jambo ambalo mi sikuwa tayari kulifanya kwa kipindi kile kwa sababu kuna mambo niliona kama vile sipo sawa ktk maisha kwani kuingia ktk ndoa inahitaji kujiandaa kiakili na kimwili vizuri,
But for now nikijitathmini najiona nipo tayari kabisa kuingia ktk ndoa kwani vijicourse vilivyokuwa vina nikeep bize nimeshavimaliza, kifedha sipo vibaya kushindw kuhandle family issues,sasa changamoto ninazopata ni hizi zifuatazo,

1)kila nyakati nikitaka kuingia ktk mahusiano Nahisi kushindwa kuwaamini hawa wa viumbe wa kike i think ni kutokana na historia ya nyuma na sijajua natokaje katk hilo,

2)Mazingira niliyopo( watu wanaonizunguka co-workers simulizi zao juu ya mahusiano zimekuwa so negative hivyo kuchangia zaidi tatizo namba 1 hapo juu.

3)Hivi inawezekana kweli kumpata mdada mweye moyo mwema na upendo wa dhati hata kama na yeye aliwahi pitia kipindi kigumu ktk mahusiano? mnawapataje hawa watu coz mi na face changamoto on hw to get those ladies.

4)Moyo wangu unawapenda sana wadada wa kichaga but marafiki zangu wananichallenge sana
kuhusu hao watu, mi naamini tabia ni za mtu binafsi na sio kabila la mtu,

Ndugu zangu wa jf najua kuna watu humu wameptia mengi na pocbo changamoto zangu kuna wengine wameshazivuka hivyo naombeni msaada wa mawazo wa namana ya kupata mahusiano yaliyo bora na imara, Nimedhamiria mwaka huu kuwa na mahusiano yatakayopelekea ndoa sitaki kuptezeana muda,
Ushauri wangu kwako ni kuwa usiingie katika mahusiano hasa ya ndoa pasipo kumshirikisha Mungu. Omba hekima na uongozi wa Mungu akupatie MTU sahihi.... Sehemu ya ubavu wako.... Usiongozwe na tamaa na yale tuyaonayo kwa MACHO. Mwombe Mungu akuongoze upite katika hatua sahihi vya kuifikia hatma yako ya NDOA.

All the very best....!!!
 
Habari zenu wakuu,
Baada ya kuwa off relationship kwa takribani a year now hii ni kutokana na kuumizwa na mtu niliyekuw ktk mahusiano kwa takribani 2 years na ambaye kwa kweli nilitegemea tungekula nae kiapo, Mojawapo ya sababu kubwa ya yeye na mimi kuachana ni kuwa she was too demanding 8 She was pressurizing tuoane mapema jambo ambalo mi sikuwa tayari kulifanya kwa kipindi kile kwa sababu kuna mambo niliona kama vile sipo sawa ktk maisha kwani kuingia ktk ndoa inahitaji kujiandaa kiakili na kimwili vizuri,
But for now nikijitathmini najiona nipo tayari kabisa kuingia ktk ndoa kwani vijicourse vilivyokuwa vina nikeep bize nimeshavimaliza, kifedha sipo vibaya kushindw kuhandle family issues,sasa changamoto ninazopata ni hizi zifuatazo,

1)kila nyakati nikitaka kuingia ktk mahusiano Nahisi kushindwa kuwaamini hawa wa viumbe wa kike i think ni kutokana na historia ya nyuma na sijajua natokaje katk hilo,

2)Mazingira niliyopo( watu wanaonizunguka co-workers simulizi zao juu ya mahusiano zimekuwa so negative hivyo kuchangia zaidi tatizo namba 1 hapo juu.

3)Hivi inawezekana kweli kumpata mdada mweye moyo mwema na upendo wa dhati hata kama na yeye aliwahi pitia kipindi kigumu ktk mahusiano? mnawapataje hawa watu coz mi na face changamoto on hw to get those ladies.

4)Moyo wangu unawapenda sana wadada wa kichaga but marafiki zangu wananichallenge sana
kuhusu hao watu, mi naamini tabia ni za mtu binafsi na sio kabila la mtu,

Ndugu zangu wa jf najua kuna watu humu wameptia mengi na pocbo changamoto zangu kuna wengine wameshazivuka hivyo naombeni msaada wa mawazo wa namana ya kupata mahusiano yaliyo bora na imara, Nimedhamiria mwaka huu kuwa na mahusiano yatakayopelekea ndoa sitaki kuptezeana muda,

Mithali 31:10-31
10 Mke mwema, ni nani awezaye kumwona?Maana kima chake chapita kima cha marijani.
11 Moyo wa mumewe humwamini,Wala hatakosa kupata mapato.
12 Humtendea mema wala si mabaya,Siku zote za maisha yake.
13 Hutafuta sufu na kitani;Hufanya kazi yake ya mikono kwa moyo.
14 Afanana na merikebu za biashara;Huleta chakula chake kutoka mbali.
15 Tena huamka, kabla haujaisha usiku;Huwapa watu wa nyumbani mwake chakula;Na wajakazi wake sehemu zao.
16 Huangalia shamba, akalinunua;Kwa mapato ya mikono yake hupanda mizabibu.
17 Hujifunga nguvu viunoni kama mshipi;Hutia mikono yake nguvu.
18 Huona kama bidhaa yake ina faida;Taa yake haizimiki usiku.
19 Hutia mikono yake katika kusokota;Na mikono yake huishika pia.
20 Huwakunjulia maskini mikono yake;Naam, huwanyoshea wahitaji mikono yake.
21 Hawahofii theluji watu wa nyumbani mwake;Maana wote wa nyumbani mwake huvikwa nguo nyekundu.
22 Hujifanyia mazulia ya urembo;Mavazi yake ni kitani safi na urujuani.
23 Mume wake hujulikana malangoni;Aketipo pamoja na wazee wa nchi.
24 Hufanya nguo za kitani na kuziuza;Huwapa wafanya biashara mishipi.
25 Nguvu na hadhi ndiyo mavazi yake;Anaucheka wakati ujao.
26 Hufumbua kinywa chake kwa hekima,Na sheria ya wema i katika ulimi wake.
27 Huangalia sana njia za watu wa nyumbani mwake;Wala hali chakula cha uvivu.
28 Wanawe huondoka na kumwita heri;Mumewe naye humsifu, na kusema,
29 Binti za watu wengi wamefanya mema,Lakini wewe umewapita wote.
30 Upendeleo hudanganya, na uzuri ni ubatili;Bali mwanamke amchaye BWANA, ndiye atakayesifiwa.
31 Mpe mapato ya mikono yake,Na matendo yake yamsifu malangoni.
 
Mithali 31:10-31
10 Mke mwema, ni nani awezaye kumwona?Maana kima chake chapita kima cha marijani.
11 Moyo wa mumewe humwamini,Wala hatakosa kupata mapato.
12 Humtendea mema wala si mabaya,Siku zote za maisha yake.
13 Hutafuta sufu na kitani;Hufanya kazi yake ya mikono kwa moyo.
14 Afanana na merikebu za biashara;Huleta chakula chake kutoka mbali.
15 Tena huamka, kabla haujaisha usiku;Huwapa watu wa nyumbani mwake chakula;Na wajakazi wake sehemu zao.
16 Huangalia shamba, akalinunua;Kwa mapato ya mikono yake hupanda mizabibu.
17 Hujifunga nguvu viunoni kama mshipi;Hutia mikono yake nguvu.
18 Huona kama bidhaa yake ina faida;Taa yake haizimiki usiku.
19 Hutia mikono yake katika kusokota;Na mikono yake huishika pia.
20 Huwakunjulia maskini mikono yake;Naam, huwanyoshea wahitaji mikono yake.
21 Hawahofii theluji watu wa nyumbani mwake;Maana wote wa nyumbani mwake huvikwa nguo nyekundu.
22 Hujifanyia mazulia ya urembo;Mavazi yake ni kitani safi na urujuani.
23 Mume wake hujulikana malangoni;Aketipo pamoja na wazee wa nchi.
24 Hufanya nguo za kitani na kuziuza;Huwapa wafanya biashara mishipi.
25 Nguvu na hadhi ndiyo mavazi yake;Anaucheka wakati ujao.
26 Hufumbua kinywa chake kwa hekima,Na sheria ya wema i katika ulimi wake.
27 Huangalia sana njia za watu wa nyumbani mwake;Wala hali chakula cha uvivu.
28 Wanawe huondoka na kumwita heri;Mumewe naye humsifu, na kusema,
29 Binti za watu wengi wamefanya mema,Lakini wewe umewapita wote.
30 Upendeleo hudanganya, na uzuri ni ubatili;Bali mwanamke amchaye BWANA, ndiye atakayesifiwa.
31 Mpe mapato ya mikono yake,Na matendo yake yamsifu malangoni.
Thanx
 
Habari zenu wakuu,
Baada ya kuwa off relationship kwa takribani a year now hii ni kutokana na kuumizwa na mtu niliyekuw ktk mahusiano kwa takribani 2 years na ambaye kwa kweli nilitegemea tungekula nae kiapo, Mojawapo ya sababu kubwa ya yeye na mimi kuachana ni kuwa she was too demanding 8 She was pressurizing tuoane mapema jambo ambalo mi sikuwa tayari kulifanya kwa kipindi kile kwa sababu kuna mambo niliona kama vile sipo sawa ktk maisha kwani kuingia ktk ndoa inahitaji kujiandaa kiakili na kimwili vizuri,
But for now nikijitathmini najiona nipo tayari kabisa kuingia ktk ndoa kwani vijicourse vilivyokuwa vina nikeep bize nimeshavimaliza, kifedha sipo vibaya kushindw kuhandle family issues,sasa changamoto ninazopata ni hizi zifuatazo,

1)kila nyakati nikitaka kuingia ktk mahusiano Nahisi kushindwa kuwaamini hawa wa viumbe wa kike i think ni kutokana na historia ya nyuma na sijajua natokaje katk hilo,

2)Mazingira niliyopo( watu wanaonizunguka co-workers simulizi zao juu ya mahusiano zimekuwa so negative hivyo kuchangia zaidi tatizo namba 1 hapo juu.

3)Hivi inawezekana kweli kumpata mdada mweye moyo mwema na upendo wa dhati hata kama na yeye aliwahi pitia kipindi kigumu ktk mahusiano? mnawapataje hawa watu coz mi na face changamoto on hw to get those ladies.

4)Moyo wangu unawapenda sana wadada wa kichaga but marafiki zangu wananichallenge sana
kuhusu hao watu, mi naamini tabia ni za mtu binafsi na sio kabila la mtu,

Ndugu zangu wa jf najua kuna watu humu wameptia mengi na pocbo changamoto zangu kuna wengine wameshazivuka hivyo naombeni msaada wa mawazo wa namana ya kupata mahusiano yaliyo bora na imara, Nimedhamiria mwaka huu kuwa na mahusiano yatakayopelekea ndoa sitaki kuptezeana muda,
Dawa ni kusali na kumwomba mungu akupe Wa kufanana na wewe
 
Tenga muda special kabisa wa kutembelea moshi kutafta mchumba, ukisubiri wachaga wa dar utakesha maana walioko huku wameletwa na waume zao kuolewa.
 
Habari zenu wakuu,
Baada ya kuwa off relationship kwa takribani a year now hii ni kutokana na kuumizwa na mtu niliyekuw ktk mahusiano kwa takribani 2 years na ambaye kwa kweli nilitegemea tungekula nae kiapo, Mojawapo ya sababu kubwa ya yeye na mimi kuachana ni kuwa she was too demanding 8 She was pressurizing tuoane mapema jambo ambalo mi sikuwa tayari kulifanya kwa kipindi kile kwa sababu kuna mambo niliona kama vile sipo sawa ktk maisha kwani kuingia ktk ndoa inahitaji kujiandaa kiakili na kimwili vizuri,
But for now nikijitathmini najiona nipo tayari kabisa kuingia ktk ndoa kwani vijicourse vilivyokuwa vina nikeep bize nimeshavimaliza, kifedha sipo vibaya kushindw kuhandle family issues,sasa changamoto ninazopata ni hizi zifuatazo,

1)kila nyakati nikitaka kuingia ktk mahusiano Nahisi kushindwa kuwaamini hawa wa viumbe wa kike i think ni kutokana na historia ya nyuma na sijajua natokaje katk hilo,

2)Mazingira niliyopo( watu wanaonizunguka co-workers simulizi zao juu ya mahusiano zimekuwa so negative hivyo kuchangia zaidi tatizo namba 1 hapo juu.

3)Hivi inawezekana kweli kumpata mdada mweye moyo mwema na upendo wa dhati hata kama na yeye aliwahi pitia kipindi kigumu ktk mahusiano? mnawapataje hawa watu coz mi na face changamoto on hw to get those ladies.

4)Moyo wangu unawapenda sana wadada wa kichaga but marafiki zangu wananichallenge sana
kuhusu hao watu, mi naamini tabia ni za mtu binafsi na sio kabila la mtu,

Ndugu zangu wa jf najua kuna watu humu wameptia mengi na pocbo changamoto zangu kuna wengine wameshazivuka hivyo naombeni msaada wa mawazo wa namana ya kupata mahusiano yaliyo bora na imara, Nimedhamiria mwaka huu kuwa na mahusiano yatakayopelekea ndoa sitaki kuptezeana muda,

MKUU,

HILI TANGAZO LIMESHALIPIWA HADI VAT?

TUANZIE HAPO.
 
umeanza vizuri ukaaribu hapa ukitaka kupata mke wacha aje kama muujiza.

Ndoa nyingi zilizodumu waliwapata wenza wao kwa njia ambayo hawakutegemea.

Nb. Mke utakae muoa atakuwa na sifa kuu tatu
1. Utampata mazingira ambayo utarajii kukutana nae
2. Hutompenda mwanzoni
3. Hastahili kujua wewe ni nan at first.

mwisho mkumbushe mungu mke unaemtaka.
Point ya mwaka
 
Back
Top Bottom