mambo_safi
Senior Member
- Jul 22, 2019
- 147
- 392
Una binti yako unajua ulivyopambana /unavyopambana kumtengenezea maishabora ya baadaye!
Halafu kanajitokeza kamjamaa kanakuja kamechomekea kujitambulisha eti kanataka kumuoa binti yako. Kwa uzoefu wako wa kutaka kumfahamu zaidi unagundua hana uwezo wa kutengeneza familia bora na binti yako.
Unamkalisha chini binti kumueleza ukweli lakini binti haelewi. Sasa washua/madingi, katika mazingira haya unafanyaje? Ukizingatia hawa mabinti wanaingia kwenye mahusiano kimiemko wakidhani maisha waliolelewa ni rahisi kuyafikia kwa mwanaume katika mizania ya kutosomeka!
Halafu kanajitokeza kamjamaa kanakuja kamechomekea kujitambulisha eti kanataka kumuoa binti yako. Kwa uzoefu wako wa kutaka kumfahamu zaidi unagundua hana uwezo wa kutengeneza familia bora na binti yako.
Unamkalisha chini binti kumueleza ukweli lakini binti haelewi. Sasa washua/madingi, katika mazingira haya unafanyaje? Ukizingatia hawa mabinti wanaingia kwenye mahusiano kimiemko wakidhani maisha waliolelewa ni rahisi kuyafikia kwa mwanaume katika mizania ya kutosomeka!