Mahusiano na mwanajeshi...

 
Kawaida dada,ulipaswa wewe ndio uhangaike kumaintain hali,yaani ahangaike kukufukuzia,halafu tena na ahangaike kulinda penzi...hy ilikuwa kazi yako wewe mtafutwaji/mpatikanaji.

Mie nilikuwaga nako kademu bakabaka,kalikuwa kalamishi sana,hadi kakawa kananitoa mchezoni,yani kakija gheto nakuwa sina mzuka kabisa,maana anaweza alalamike usiku kucha kuwa simjali,simpigii simu,sms simtumii wala simpost fb,ila nikaja kugundua mbinu moja tu ndio ilikuwa inafanya kazi...! akianza kulalama mie namdandia, kazi,ukimuachia hoi,akiamka tu tena akinigusa mie naanza kupapasa,juu tena,yaani nahakikisha hadi asubuhi nimemdandia vya kutosha ili kumziba domo lake...
 
Vipi sisi "Walugaluga" tuna nafasi hapo?
 
Wanajeshi ni kama wamedata hivi bila kutumia nguvu zako binafsi kupigania penzi utaona kama wazinguaji flani hivi,ila kimsingi ktk hiyo sector ni kama wanahitaji kushikiliwa zaidi ya maamuzi yao,ukifanikiwa hapo ni watu safi sana.

Kiboko ya njia ni polisi,hawa si tu malaya,ni wajuaji pia.ukitaka kuamini hili,kwanza ni vigumu wao kwa wao kuona,lakini pia ndoa za polisi wa kike hazidumu,wakati huo za polisi wa kiume nyingi ziko taabani.
 
Lengo la thread ,tujadili nini?
 
Mapenzi ya mbalimbali nayafananisha na mahusiano ya tv na remote inayoisha battery, wakati mmoja anapigwapigwa mwingine anabonyezwa kwa karibu
 
Unamjua unaempenda lakini hujui anaekupenda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…