Mahusiano na mke wa mtu yalivyonitesa

Mahusiano na mke wa mtu yalivyonitesa

Kuna siku nili mwambia kuanzia leo mimi na wewe basii ebwana. Sitakaa nirudieee maana alienda hadi kwa jamaa yangu ambauye haja wahii kuongea naeee akamchana livd kuwa jamaa anataka kuniachaa. Sikujua nini kinaendelea ila asubuhii nashangaa naitwa kwnda namkuta yile manzii analia kama mtoto. Sema sasa mimi jiwa machozi haya nitishii, nikaongea nika mwambia tuta piga story wawili tu ila sio mbele ya kada mnasi.

Hapa nawaza jinsi ya kumuachaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumuacha mpaka awe tayari yeye ndio itakuwa rahisi zaidi au wewdm uhame mtaa huo nje ya hapo tusubiri hitimisho baya lenye kumbu kumbu mbaya kama uzima utakuwepo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumuacha mpaka awe tayari yeye ndio itakuwa rahisi zaidi au wewdm uhame mtaa huo nje ya hapo tusubiri hitimisho baya lenye kumbu kumbu mbaya kama uzima utakuwepo

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nacheza kama pele ukituóna unaweza sema tuna heshimiana na huwezi shtuka ila sasa akipata chance utafurahii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom