Mahusiano na mke wa mtu yalivyonitesa

Mahusiano na mke wa mtu yalivyonitesa

Hongereni na Majukumu wananzengo

Ni kisa ambacho nimekikumbuka baada ya mwanamke huyo kunijualia hali jioni hii kwa sms nikaona si vibaya nikiwamegea kidogo story hii.

Kipindi cha nyuma kidogo(2013)wakati nimeamua kuchomoka kwa wazazi na kuanza kujitegemea nilibahatika kupata chumba kwenye nyumba moja ambayo ilikuwa ni ya familia ya mke na mume na watoto watano watoto wakubwa walikuwa wapo masomoni shule ya bweni, lakini wadogo wawili walikuwa wakisoma shule ya kutwa

Kwakuwa nilikuwa kijana mchangamfu na niliyejali hata madogo wa pale nilipendwa mno na ile familia kiasi cha kuwekwa hata kwenye hesabu ya chakula yaani ikawa kama nimetoka nyumbani halafu nipepanga tena nyumbani.

Ajabu ni kuwa tangu nimefika pale sikuwa nimefanikiwa kumuona father house niliambiwa tu mzee yupo nje ya... kikazi

Basi mama yule tukazoeana sana mpaka wakati mwingine kupiga soga za mahusiano yaliyowahi kupita,aise kumbe shetani alikuwa karibu kuliko mawazo yetu basi.

Siku moja katika story mbili tatu akasema unajua kitambi kina mkera sana na amejaribu dawa nyingi kukitoa ila hazijamsadia.

Kwakweli ushauri niliompa ni aanze mazoezi ya kukata tumbo akauliza ndio yakoje basi nikamueleza (lala chali then weka mikono kichwani halafu unajiinua)kutokana na uzito kila alipojaribu kujinyanyua ilinyanyuka miguu ikanibidi nikae juu ya miguu yake kumpa saport.

Sikuelewa nini kilitokea na mazoezi yaliishia wapi ila (nikala tunda kimasikhara kabisa )mwisho kila mtu alijisikia tabu na kujilaumu kwa tendo lile ila ikawa ndio imeshaliwa hiyo.

Basi tulivunga kama siku mbili tatu ila kwakweli utamu utamu tu tukashindwa kabisa kujizuia

Mambo yakawa hivyo yaani bimdashi yule aliyaweza kweli kweli ni fundi haswa yaani nikasahau kama naiba na mwenyewe yupo, nikanogewa haswa na akajaa moyoni

Basi siku zikapita majira yakasogea mwenye nyumba akarudi!!!!!bhana
Aise usiku ule sikulala moyo uliniuma niliona naonewa yaani nikifumba macho naona jamaa anavyojikadiria.

Kwa mara ya kwanza nikatoa chozi kwa maumivu ya mapenzi,yaani najaribu kuiambia akiri wewe sio wako mwenyewe ndio karudi kwanza ulikuwa unafanya makosa mwenyewe akijua utakufa lakini wapi moyo hauelewi unauma tu.

Nilikula ila nikakonda nikaanza kuwa mlevi viroba mixer fegi yaani ni vururu valangati.

Bimdashi nae akaniambia shika hela nenda kapange sehemu nyingine maana ninapokuona najikuta namchukia mume wangu maana tangu amefika nikama ananibaka yaani sina hisia nae nakuwa mkavu sasa nitakufa kwa michubuko.

Mwisho nikaona ni heri nisepe maana mzee alianza kufanya uchunguzi wa kimya kimya kutokana na mabadiliko ya mkewe..
Siku zimesonga moyo ulipona maisha yakasonga.

N.b(Hakuwa mwanamke wangu wa kwanza ni kama yeye wa 46 au47)na nilikuwa mmoja ya watu wanaoshangaa mtu kulia kwa ajili ya mapenzi. Niliponasa kwenye18 za mapenzi nikatengua kauli
Mapenzi yanaumiza sana hasa kumpoteza uliyempenda kweli unaweza kuplan mauaji hivi hivi.
Pole,,, Embe dodo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa mara ya kwanza nikatoa chozi kwa maumivu ya mapenzi,yaani najaribu kuiambia akiri wewe sio wako mwenyewe ndio karudi kwanza ulikuwa unafanya makosa mwenyewe akijua utakufa lakini wapi moyo hauelewi unauma tu.




Ha ha ha ha ha haaaaaaa mshukuru mungu sana kufumuliwa marinda kulikuwa kuna fuata

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah! Kisa chako kinaendana na changu,, lakn sitweza kusimulia kwakuwa bado kinaendelea lakn Niko kwenye wakat mgumu sana.. Nmekuwa na wivu sana.
Hata yeye ana wivu sana kwangu..
Kuna wakat mapenzi yanakuwa mateso lakn hamna namna

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah! Kisa chako kinaendana na changu,, lakn sitweza kusimulia kwakuwa bado kinaendelea lakn Niko kwenye wakat mgumu sana.. Nmekuwa na wivu sana.
Hata yeye ana wivu sana kwangu..
Kuna wakat mapenzi yanakuwa mateso lakn hamna namna

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaha pole mkuu nakumbukaga nilikuwa na vimaswali vya kijina
Mimi:na leo umempa???
Yeye:ndiyo sasa nitamnyimaje???
Mimi:dah! Amepiga ngapi??
Yeye:sita tunavyolala 2 usiku akaamka akataka tena akapiga 2 na asubuhi kapiga mbili
Mimi: khaa zote hizo dah! Yaani hapo natamani hadi kupasuka kwa maumivu ....hahahaha jamaa nilimchukia ningekuwaga na ubest na mtoa roho ningekuwa nishamleftisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah! Kisa chako kinaendana na changu,, lakn sitweza kusimulia kwakuwa bado kinaendelea lakn Niko kwenye wakat mgumu sana.. Nmekuwa na wivu sana.
Hata yeye ana wivu sana kwangu..
Kuna wakat mapenzi yanakuwa mateso lakn hamna namna

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mda mnakuwa mna jisahau sana. Mnajions mna hakiii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi niko na na mmoja ila kiukwelii amenipenda sema sasa shida iko kwake yani ku sex na jamaa imekuwa mtihani hadi jamaa anaulizaaa shida ni nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio tabu wanakopenda na hisia zinabaki huko

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna siku nili mwambia kuanzia leo mimi na wewe basii ebwana. Sitakaa nirudieee maana alienda hadi kwa jamaa yangu ambaye haja wahii kuongea naeee akamchana live kuwa jamaa anataka kuniachaa. Sikujua nini kinaendelea ila asubuhii nashangaa naitwa kwenda namkuta yule manzii analia kama mtoto. Sema sasa mimi huwa machozi haya nitishii, nikaongea nika mwambia tuta piga story wawili tu ila sio mbele ya kada mnasi.

Hapa nawaza jinsi ya kumuachaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom