Mnayazungumzia mapenzi haya yanayoniliza kila siku
Nimpigie simu huyu anaenifanya nitoe machozi kila nikimkumbuka au kunamwingine
Hata kwenye uboyfriend na ugirlfriend mawasiliano ni muhimu mnoooo, na kwa hili mie huwa sina excuse.
Na hicho ndicho nilichokuwa naongelea, na ukishaona tu mtu anasuasua kwenye suala zima la mawasiliano basi ujue hamna kitu hapo, unakinga upepo tu. Eti mtu 2,3,4 days usipoanza kumtafuta wewe basi siku zinapita tuuuuuu!! Mfyuuuu!
Cc Mentor
Siku mbili hujapokea simu wala text? Huo sio uchumba,labda u boyfriend na girlfriend.
Tena bado hata hawajagegedana
Mi nishalikataa hilo la simu za kila mara, mie ni simu moja tu au tatu kwa siku
Ndio unajikuta hata 1 hupati..
Ila saa zingine simu zinaudhi sana. Mie ikifika saa 12 naizima naiwasha asubuhi
Yupo ambae hatakuliza....kila siku atakupa tabasamu na kusahau machungu yote ya dunia...usikate tamaa.
Napenda mwanaume anayejali kila anapopata muda ananijulia hali ananiuliza umekula? Umevaaje,unafanya nn, umeshindaje yaani ni raha ila ndo mpaka umpate
Mkuu hili unaliongelea kwa uzoefu?
Mwambie pacha Wako maana Amekubuhu kwa Hiyo TabiaSiku mbili hujapokea simu wala text? Huo sio uchumba,labda u boyfriend na girlfriend.
Anyway, una umri gani ili nifahamu kama unafahamu maana ya uchumba.jinsia mbona haihusiki hapa ndugu? Hili ni kwa wote
Mwambie pacha Wako maana Amekubuhu kwa Hiyo Tabia
Atoto Jifunze Kupitia Uzi Huu Maana Unapitishaga hata wiki
naanza kupata picha kwanini huwa cmu Yangu Haipokewi kwa WakatiKwangu ni kero kama am not into you, ila kama nakupenda napenda mnooooo.
Bila hela hata mwezi napitisha.