Gwakukahja
JF-Expert Member
- Sep 26, 2015
- 1,119
- 740
[/COLOR][/SIZE][/B]
sio wote.......wengine hizo ni kero mara dufu..........
Mi mwenyewe imenishinda hiyoo bora aniache
[/COLOR][/SIZE][/B]
sio wote.......wengine hizo ni kero mara dufu..........
Anakuwa free tu siku anazohitaji mkagegedane. Siku hiyo kuanzia Saa 12 utatumiwa texts tamu tamu Hahahaha, Mungu atusaidie
Kabisaa,mchepuko kuruka ruka. Siku nzima tu mtu una smell something fishy..ndio iwe siku mbili.
Anakuwa free tu siku anazohitaji mkagegedane. Siku hiyo kuanzia Saa 12 utatumiwa texts tamu tamu Hahahaha, Mungu atusaidie
Au mwingine hadi umtafute ndo anakujibu "Nipo busy". Sasa unajiuliza hivi nisingemtafuta angesema saa ngapi kuwa yupo busy? Au kwa nini asitafute yeye mwenyewe muda ndo aseme kuwa yupi busy? Muda wa kunijibu upo busy unao, ila hadi nikutafute. Na hapo unamuona tu online anaingia na kutoka. mmmmmh mulika mwiziUtasikia upo wapi,rudi nyumban sasa hivi. Aseeeh,ukiangalia wewe ulipiga simu siku mbili zilizopita majibu yakawa 'ntakupigia'.
Hahahah but not "personal experience"mmh speaking from experience anh...
Au mwingine hadi umtafute ndo anakujibu "Nipo busy". Sasa unajiuliza hivi nisingemtafuta angesema saa ngapi kuwa yupo busy? Au kwa nini asitafute yeye mwenyewe muda ndo aseme kuwa yupi busy? Muda wa kunijibu upo busy unao, ila hadi nikutafute. Na hapo unamuona tu online anaingia na kutoka. mmmmmh mulika mwizi
Hahahah but not "personal experience"
Hahaha yani kuna muda tunajifanyaga hatujui kusoma majira ya nukta teh. Unakuta mtu bado upo tuHiyo ya Online ndio ina hatari zaidi..yaani mtu unaona kabisa text imesomwa 'One minute ago' unasubiri majibu siku nzima,unamuona anaingia online na kutoka ya kwako haijibiwi,ukipiga unaambiwa 'nipo Kikaoni nipigie baadae'..
Hahahaha hizo pole hazitonifikia kwa kwelihahha naona unanruka viunzi... nlikua nshaandaa pole zangu 🙂

Hahaha yani kuna muda tunajifanyaga hatujui kusoma majira ya nukta teh. Unakuta mtu bado upo tu
Mi niko tofauti kidogo, mapenzi hutoka moyoni. Kupitisha siku 2 mbili bila mawasiliano haina mana kama humpendi mwenza wako.Inategemea umetingwa na shughuli gan kwa wakti huo. Lakin tujiulize swali, hiv miaka ya 2000 kurudi zilikuwa hazijachanganya, watu waliokua wanaishi sehem tofauti walikua hawapendani. Wengi waliwasiliana kwa barua, na barua hazikutumwa kila siku. Sasa nyie kila siku mnataka mpigiane kwa maongezi gani?
nyieeee ukidate na hawa wenzetu wa rangi tofauti ambaye ana jazi zake rasmi tu anafanya mahali utalia machozi wako very strict na muda , kama nikupiga hupiga once per day akikuaga ni byee baby i will call you tomorrow if i wont be too busy, akiwa ametoka kazin kachoka sana hakupigii aisee, yaan style yetu yakujaliana kwa sms kila saa sahau, zikipita siku mbili hajakutafuta roho inakupasuka unaumia akikutafuta yuko serious i was so busy working baby i miss you a lot ewwwhhh jaman hawa watu mahaba niue utayapata kwa dakik chache tu jaman akiwepo
sisi waafrica kila kitu chetu ni tofauti aisee nlipataga shida sana mmmmh
Hivi mnawezaje kupitisha siku mbili hamjawasiliana halafu mnadai kua ni wachumba? Unaanzaje kulala wakati hujui mchumba wako ameshindaje? Mawasiliano ni kitu cha msingi sana halafu ukitaka kuaminika kwa mchumba wako wa kike yaani ni bora upige simu kwa sana kwasababu wanawake wanapenda sana ku tekiwa care na visimu vya hapa na pale. Ni hilo tuu usiku wa leo