wanaume ni wataalam wa kudanganya. Kwa lugha nyepesi wanaume ni 'WAONGO'. Bt sio wote ni baadhi ila asilimia kubwa waongo.
Sina hakika, ngoja nivute kumbukumbu then ntakujibu...lol..Babu alishawahi kukudanganya?
Mi nipo...,hakuna mtakatifu likija
kwenye swala la uongo kwenye
mapenzi..
Mi nipo...,
Wanaume ni zaidi.Wote ni waongo tu, linapokuja suala la mapenzi...
Fido dido mwenyewe anasema mi mkweli mpaka ndotoni!mmmmhh we hata usiongee
jinsi ulivyomfasnyia fudo dido mmhhh
wanaume ni wataalam wa kudanganya. Kwa lugha nyepesi wanaume ni 'WAONGO'. Bt sio wote ni baadhi ila asilimia kubwa waongo.
Wanaume ni zaidi.
Wanawake ni Malaika.Asilimia kubwa baadhi ya wanaume ni waongo ktk mapenzi na wana lugha lain za kuwarubun wanawake.
Kwetu sisi ambao hatujajaliwa kuwa ndoa 2muombe sana mungu dunia imechafuka mno mpaka wengine tunaanza kuwaza vby, sijui tusiolewe?
Sio malaika, hata wao ni waongo ila tukirudi kwenye nani zaid wanaume ni zaid.Wanawake ni Malaika.
Kwani kwenye uongo kuna kiwango kwamba huyu kadangaya kidogo na huyu kadanganya sana???Sio malaika, hata wao ni waongo ila tukirudi kwenye nani zaid wanaume ni zaid.
Fido dido mwenyewe anasema mi mkweli mpaka ndotoni!
Wote waongo ila tunatofautiana viwango....
Hahahaahahaha
sasa huo si ndio uongo wenyewe..
mmmhhhh lskini mlikuwa good match muongo+muongo=perfect
sababu hapo mnakamatana kilaini
hahhaaha lol