CPU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 3,863
- 687
- Thread starter
- #41
mimi kazini kuna jamaa anaitwa Mswati akiona sketi tu kosa hata kama amechoka lazima afanye kazi,mwingine tunamwita vuvuzela..anapenda sana sifa na kuongea hovyohovyo,sasa ole wako akusikie unamwita hilo jina umekwisha.
Huyo Mswati akiona sketi ya waziri ndo itakuwaje?
Ila huyo Vuvuleza heh he heheh
Sisi huku Vuvuzela ni MILINGOTI YA WANAUME . . .lolz