Mahusiano ah.............

Jamani jamani jamani....we mjukuu haya maneno umeyakopi wapi?

Hivi kina mama, kama mnajua haya mambo ndiyo yanatupeleka nyumba ndogo, kwanini hamyafanyi na nyie?
Babu ...........Bibi kaiba pasiwedi yangu hapa mi hata sijui thread inazungumzia nini...........nisome??
 
Bigirita umenifanya nimecheka sana leo...wala kaka sijachukulia kifupi na ndo maana nikasema pengine mama nae alikuwa vuvuzela baba akachoka akatoka ndo kukutana na wa kuziba masikio ili kulinda ngoma zake.

Ni kweli hakuna kisicho na mwanzo .nakuruhusu toka but unanikashfu tena jamani?......Is that fair?
Tatizo ni gia, sio kashfa, huwa tunasema kwa nia njema tu ya kuhakikisha tunapata kidude, then mnapoambiwa A = upupu huwa mna-define bila hata kuhakikishiwa kuwa B = bora zaidi, A - ikiwa ni bimkubwa na B - ikiwa ni bimdogo.

Likini wakati mwingine kuna wadada wanajua (kwasababu zao wanazojua wao) kukamata mwanaume, na hasa akiwa mme wa mtu. Mpaka unajiuliza, mmh! anataka nini huyu?
 
mnajua muwe mnatofautisha kitu kimoja, huyo mwanamke anaweza kufanya hivy coz ana muda wa ziada wa kutafuta mbinu za kukurubuni wewe, mie nitoke job cjapika, cjui manka ana homework, kabula na flu, kidume changu kinataka nikalishe mie tu, huku Kaizer atake nimwekee cjui maji na kisoc cha kubebea hizo ndude zake, cjui nimlishe na yeye, mara nini na nini, bado mie mwenyewe, huo muda naupatia wapi mtu huyu huyu?
nyamayao!!!.................

Hali hii inanifanya niwaonee sana wivu mama zetu ambao walikuwa ni wamama wa nyumbani. ...maana naamini kabisa ningekuwa mama wa nyumbani kazi yangu ingekuwa ni kubuni na kubuni leo nimwingilie na dance gani, leo nimbebeje, leo nimkande vipi baba chanja wangu ............ lakini hali ya uchumi hairuhusu jamani.
 
mie mwanamke mwenzangu acjeshawishika kunifanyia hiko kitendo, dharau kubwa sana, nitaanza nae then nitamalizana na mhucka, kama anakula ale kwa abadu zake za kumtosha.

utapigana dearest?
 
Kwahiyo bibie unahalalisha "small house" RASMI!

hapo penye red/underlined pamenifanya nipaliwe na kipande cha burger!

pole kwa kupaliwa, sasa Baba E japo ungekuwa bac na ushirikiano ili niweze kupata muda wakukuandalia hayo mambo, jamani, unarudi saa 6 ucku, unkuta bado cjafunga jicho napac uniform za kabula, wewe unaoga/kula unajitupa kitandani, hivi jamani mtuonee huruma jamani.
 
utapigana dearest?

huyo nitamfanyia kitu ambayo hatakaa asahau, wanawake kama hao ni kuwaachia historia, ctaweza kukuambia nitamfanyia nn kwa sasa....makofi mawili matatu yanamhusu thn kama ana moyo ndio ataendelea kuishi mji huo...mbona yanafanyika sana, maisha mafupi mtu kukupasulia nyongo kwenye ubwabwa wa nazi....halafu ucpotee hivyo dearest jamani, hata sms? mie uzee ndugu bila kush2liwa csh2ki.
 
Tatizo ni gia, sio kashfa, huwa tunasema kwa nia njema tu ya kuhakikisha tunapata kidude, then mnapoambiwa A = upupu huwa mna-define bila hata kuhakikishiwa kuwa B = bora zaidi, A - ikiwa ni bimkubwa na B - ikiwa ni bimdogo.

Likini wakati mwingine kuna wadada wanajua (kwasababu zao wanazojua wao) kukamata mwanaume, na hasa akiwa mme wa mtu. Mpaka unajiuliza, mmh! anataka nini huyu?
mh haya bana mie nakubaliana na wewe....... ntafanyaje sasa.

sawa itumie kama gia lakini ukishakamatika huko sio uje kwangu unikashfu tena eti nisikufuate fuate kwa kuwa chakula kipo ndani.......ikate basi na yenyewe uiache nyumbani uone kama ntakufuata maana ndicho kilichontoa kwetu ati
 
Tatizo ni gia, sio kashfa, huwa tunasema kwa nia njema tu ya kuhakikisha tunapata kidude, then mnapoambiwa A = upupu huwa mna-define bila hata kuhakikishiwa kuwa B = bora zaidi, A - ikiwa ni bimkubwa na B - ikiwa ni bimdogo.

Likini wakati mwingine kuna wadada wanajua (kwasababu zao wanazojua wao) kukamata mwanaume, na hasa akiwa mme wa mtu. Mpaka unajiuliza, mmh! anataka nini huyu?

Dah!!! naona uko kimahusiano na kinyumba ndogo zaidiiii
 
Tatizo ni gia, sio kashfa, huwa tunasema kwa nia njema tu ya kuhakikisha tunapata kidude, then mnapoambiwa A = upupu huwa mna-define bila hata kuhakikishiwa kuwa B = bora zaidi, A - ikiwa ni bimkubwa na B - ikiwa ni bimdogo.

Likini wakati mwingine kuna wadada wanajua (kwasababu zao wanazojua wao) kukamata mwanaume, na hasa akiwa mme wa mtu. Mpaka unajiuliza, mmh! anataka nini huyu?

mie langu likikamatika huko nitasema ni kiherehee chake, kuna viherehere vibaya sana maishani, vina cost sema mnjifanya vipofu tu.
 
mh haya bana mie nakubaliana na wewe....... ntafanyaje sasa.

sawa itumie kama gia lakini ukishakamatika huko sio uje kwangu unikashfu tena eti nisikufuate fuate kwa kuwa chakula kipo ndani.......ikate basi na yenyewe uiache nyumbani uone kama ntakufuata maana ndicho kilichontoa kwetu ati

kama kungekuwa na huo uwezekano nadhani hizi purukushani zingepungua kwa kiwango kikubwa sana...lol
 
thnx dearest...hii case uliyonunua leo ni kiboko....binadamu wanajua kupenda kweli kumbe wanajimaliza wenyewe.
Some of the greatest crimes against humanity have been and are continuing to be committed in the name of love. A sociopath is a person who will destroy you, without a heart, without a conscience, without even a second glance. At first they are too perfect and too good to be true. then they remove your heart, and whatever else they want, with a scalpel........... Danielle Steel "Matters of the Heart"
 
mie langu likikamatika huko nitasema ni kiherehee chake, kuna viherehere vibaya sana maishani, vina cost sema mnjifanya vipofu tu.
Hahahaha nyamayao...kweli maana kama analishwa vinono na bado ataka akajaribu dagaa wa kupwaza itakuwa kiherehere chake ah.
 
pole kwa kupaliwa, sasa Baba E japo ungekuwa bac na ushirikiano ili niweze kupata muda wakukuandalia hayo mambo, jamani, unarudi saa 6 ucku, unkuta bado cjafunga jicho napac uniform za kabula, wewe unaoga/kula unajitupa kitandani, hivi jamani mtuonee huruma jamani.

Nyamayao:

Tunawaonea huruma na tunawapenda sana kwa dhati!

Tatizo ni maisha tunayoishi - kuna jamii inatakiwa ifanye kazi kwa niaba ya jamii nyingine pamoja na kwamba wote ni binadamu kamili!

Hivi ulishawahi kujiuliza kwanini wewe na Mr wako mnaamka asubuhi na kwenda kazini kila siku? Je maisha yatakuwaje kama mmoja wenu ataacha kazi na kubakia nyumbani kwa ajili ya "shughuli" za nyumbani?

Ndoa nyingi zinazodumu ni zile ambazo Mwanamke ni "self-employeed" au "house-wife"! Na after-all ndizo zipo "successful" lifewise.

Otherwise hizi ndoa za "working-class" :Mwanaume ameajiriwa na Mwanamke ameajiriwa - zinajaribiwa sana na Shetani!

Imagine how much savings mnaweza kufanya kwa:
- Kutumia gari moja tu kila siku?
- Kuacha kupitia Steers/Triple M/Baa Mpya/ Nguruko kula michemsho na Mi-bia after working hours?
- Kuwaandalia watoto chakula kizuri na kuepukana na ufujaji wa chakula wa HouseMaids?
- Kuhakikisha matumizi sahihi ya (Gas/Mkaa/Umeme/Kuni na Maji) : Do you know why Utility Bills are on the rise?
E.t.c

Tunapoteza Money and Life kwa kukosa uangalizi sahihi wa nyumba zetu and on top of that tunatia chumvi kwenye kidonda kwa kuwa na either "small house" or "kidumu":A S angry:
 
huyo nitamfanyia kitu ambayo hatakaa asahau, wanawake kama hao ni kuwaachia historia, ctaweza kukuambia nitamfanyia nn kwa sasa....makofi mawili matatu yanamhusu thn kama ana moyo ndio ataendelea kuishi mji huo...mbona yanafanyika sana, maisha mafupi mtu kukupasulia nyongo kwenye ubwabwa wa nazi....halafu ucpotee hivyo dearest jamani, hata sms? mie uzee ndugu bila kush2liwa csh2ki.
Huku ni kulazimishana kumkosea muumba. Hukawii kumchoma cha tumbo .
Utanisoma jioni dearest.
 
kama kungekuwa na huo uwezekano nadhani hizi purukushani zingepungua kwa kiwango kikubwa sana...lol
........nakwambia maana wanajisahau ati wakidhani sie tumeolewa twende tukalale, au kuangalia TV na kukalia makochi ah........ rafiki yangu mie alikuwaga anaulizwa kwani sijakuwekea Dstv wewe..........afu alivyokuwa na akili zake mwenyewe shemeji yangu alikuwa anayasema haya mpaka kwenye vikao vya wazee anatangaza......." nimemwekea Dstv laki mbili na sijui upuzi gani ah"............sa sijui kwa vile nyumbani kwao rafiki yangu hawakuwa na Dstv? But ITV na Star TV enzi zile walikuwaga wanawekea muvi za kinigeria.
 
Masikini mama wa watu mhhh. yani nyie wanaume hivi huwa mnajua kiasi gani mnawaumiza wake zenu kwa kuharibu hivyo???? ndio maana kila siku siachi kuweka maombi special mungu aweze kukiangamiza chama cha ma 'infii'
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom