MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,563
- Thread starter
- #61
Babu ...........Bibi kaiba pasiwedi yangu hapa mi hata sijui thread inazungumzia nini...........nisome??Jamani jamani jamani....we mjukuu haya maneno umeyakopi wapi?
Hivi kina mama, kama mnajua haya mambo ndiyo yanatupeleka nyumba ndogo, kwanini hamyafanyi na nyie?