nimebarikiwa tangu nikiwa bado tumboni mwa maman hata hivyo nitakuwa mchoyo nisiposema AHSANTE!
samahanini, nimeshindwa kuiweka hapa ila kama itawezekana basi MODS waanisaidie ! kifupi tu nenda kwenye hiyo link hapo chini, utakapoifungua nenda kwenye Wimbo namba 99 imeandikwa FURAHININURU kwenye player, ! UKII PLAY UTACHEKA HADI KESHO! TUWEMO!
http://www.wavuti.com/14/post/2009/07/post-title-click-and-type-to-edit.html
hawa jamaa bwana ebu leteni vitu vya maana angalau iendane na dunia ya sasa !Mhhh...!
Understandings and faiths at logger-heads!
Kaaazi kwelikweli!kuna hiyo sura ya firstlady sijui kama ni yake kweli au laa maana yake ni nzuri kupita kiasi nimeipenda lakini kama naye yuko ivyo moyoni mwake ingependeza zaidi
kuna hiyo sura ya firstlady sijui kama ni yake kweli au laa maana yake ni nzuri kupita kiasi nimeipenda lakini kama naye yuko ivyo moyoni mwake ingependeza zaidi