Ili ueleweke unatakiwa utumie maneno yasiyo ya kawaida sana?Lema kazingua sana. At least Msigwa anaeleweka ingawa anatumia maeneo ya kawaida sana katika kingereza.
Utaona tofauti kubwa sana kati ya mtangazaji na hao ndugu zetu katika hiyo interview.
Nini cha muhimu kwenye interview? Kueleweka au vocabulary ngumu?
I beg to differ