MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,488
- 20,446
- Thread starter
- #541
Vp kati ya Lissu na hawa ndugu zetu nani atleast?
nimeisikia lema anamwandama mama Ndalichako, ebu ngoja tuthrow back kidogo
Sasa aongee mkuu wao wa nchi uone vioja!
aisee,hawa jamaa bomba la mafuta tumewashinda lkn kiengereza kidogo wametuacha
[/
QUOTE]
Hilo bomba limefikia asilimia ngapi?mbona kama limekufa kifo cha mende?
Ndiyo maana yule Macho man alishukuru kutolewa Dampo na Mkulu..ni tatizo la kutojiongeza tu.
..mtu ana PhD na ni mhadhiri wa chuo kikuu kwanini asijipige msasa ktk lugha?
..mtu wa namna hiyo anachangamana vipi na wasomi na taasisi rafiki na chuo chetu kikuu?