Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,010
- 9,874
Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums, Maxence Melo akihojiwa Clouds+ katika kipindi cha sebuleni
======
Katika mahojiano haya amejibu nadharia zilizopo.
Moja ya nadharia iliotolewa ufafanuzi ni kudhani kuwa Jamiiforums ipo 'against' serikali, nadharia hii, haina usahihi kwa kuwa hata kesi iliyotolewa hukumu Aprili 8, 2020 ilikuwa ni taasisi binafsi Oilcom na sio serikali
Pia kuhusu jamiiforums kutumia kesi ili kujipatia umaarufu swala ambalo limejibiwa kuwa, Jamiiforums inatoa uhuru wa raia(watumiaji) wa jamiiforums kutoa mawazo yao, na hata kesi iliyotolewa hukumu msingi wake upo katika serikali kutaka taarifa za mteja ambaye kwa wajibu wake kama mtanzania alikerwa na yaliyokuwa yanaendelea bandarini na akayafanyia 'whistle blowing' ndani ya jamiiforums
Mtu anapotoa kero ya jambo haimaanishi kuwa anatafuta umaarufu bali anatimiza wajibu kama raia mwema
======
Katika mahojiano haya amejibu nadharia zilizopo.
Moja ya nadharia iliotolewa ufafanuzi ni kudhani kuwa Jamiiforums ipo 'against' serikali, nadharia hii, haina usahihi kwa kuwa hata kesi iliyotolewa hukumu Aprili 8, 2020 ilikuwa ni taasisi binafsi Oilcom na sio serikali
Pia kuhusu jamiiforums kutumia kesi ili kujipatia umaarufu swala ambalo limejibiwa kuwa, Jamiiforums inatoa uhuru wa raia(watumiaji) wa jamiiforums kutoa mawazo yao, na hata kesi iliyotolewa hukumu msingi wake upo katika serikali kutaka taarifa za mteja ambaye kwa wajibu wake kama mtanzania alikerwa na yaliyokuwa yanaendelea bandarini na akayafanyia 'whistle blowing' ndani ya jamiiforums
Mtu anapotoa kero ya jambo haimaanishi kuwa anatafuta umaarufu bali anatimiza wajibu kama raia mwema