Jackbauer
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,038
- 2,199
anaelezea safari yake ya maisha na siasa.follow the link below
Clouds FM - 88.4 FM Dar es Salaam - Listen Online
msimamo wake kuhusu posho za wabunge:haungi mkono hoja ya kupandisha posho kwa wabunge wakati kuna makundi kama madaktari na waalimu wanadai maslahi yao.
anasema ni heri kuboresha ofisi ya mbunge iwe kama taasisi badala ya kumpa mbunge posho wakati wajibu wake ni kukaa kwenye kikao.
Clouds FM - 88.4 FM Dar es Salaam - Listen Online
msimamo wake kuhusu posho za wabunge:haungi mkono hoja ya kupandisha posho kwa wabunge wakati kuna makundi kama madaktari na waalimu wanadai maslahi yao.
anasema ni heri kuboresha ofisi ya mbunge iwe kama taasisi badala ya kumpa mbunge posho wakati wajibu wake ni kukaa kwenye kikao.