Talaka ya serikali labda, japo haiandikwi kama talaka ni kugawana mali tu walizochuma pamoja. Adai talaka Misa aolewe
Kweli misichana ya kiswahili ni mipumbavu kabisa. Yaani hicho kichangudoa Misa kilazimishe kuolewa kwa kujenga fitina katikandoa ya mtu? Umalaya na upumbvu wa kshamba sana.
Inaonekana huyo misa yuko desperate sana kwamba hakuna mwanaume anamtaka sasa anajilazimisha kwa nasibu. Hivi mwanume anasema hakutaki, wewe unafanya kila hila ili akuoe, huo siyo umaskini wa kipumbavu uliokithiri?
Anataka kuolewa na Nasibu kwa kuwa nini hata anapokataliwa?
Kwanza namshauri Diamondo asikubali kuingia kicwa kichwa. Huyu mtoto inawezekana ni wa masela fulani ndiyo sababu akalazimishiwa ngono uzembe na kubambikwa mimba hapo hapo. Akapime DNA. Malaya haamiki. Kupima DNA siyo kumdhalilisha mtoto lakini ni kuthibitisha kauli za malaya kama hicho kitoto.