Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 9,037
- 12,599
Diamond is a "Bitch who is dying for Fame".
namtaka duly mie aniolee mwanaJamani jamani!! Zari aliwakosea nini lakini? Mie nampenda zari na namhurumia sana ktk hili.
Dah..kuna watu mna viherehere sana ss hpo nyie mnaumizwa na nn? jamaa kazaa na demu pembeni tatzo lko wp hpo!Kama atathibitisha kuzaa na Hamisa nadhani ndio utakuwa mwanzo wa kuanza kuporomoka kisanii. Watu wengi sana wameumizwa na hili suala. Na wengi sana walimpenda Diamond alivyokuwa na msimamo juu ya Zari. Lakini kuzaa na Hamisa ni kama kumtusi Zari. Binafsi nitakuwa hater wa Diamond endapo atathibitisha kuzaa na Hamisa.
Kuna watu wana viherehere sana ndg yng eti km kazaa na hamisa ntakuwa hater... haaaaahaaaa ss ye inamuhusu nn? ni nani kwenye ile familia hadi apanic kiasi hk? akisha kuwa hater ndio? watu wanajua bhana kujipendekeza wanatamani wangekuwa member wa familia ya madale!Then start now. Wamezaa
Kwani we umefata nini.Na makonda naye anatafuta nn huku
si kwa ubize huoAma kweli niko nyuma ya dunia, eti haya ndio nayajua sasa hivi baada ya kuyasoma humu!!!!