Mahojiano ya Diamond katika kipindi cha leo tena, amkubali mtoto wa Hamisa kuwa wake

Leo msanii Naseeb Abdul Aliteka masikio ya watanzania na mashabiki wengine Duniani kote kwa mda wa masaa mawili wakati akihojiwa na kituo cha Clouds fm kuhusu mambo mbalimbali yanayohusu maisha yake ikiwemo tukio lililovuta watu wengi la Diamond kuzaa na Hamissa mobetto

Je kwa tukio hili la leo Diamond ndiye msanii mwenye nguvu zaidi?
 
e4c36b4c4f509583966032bd8735dd06.jpg

4ec183d2ba373527bd723e3042816420.jpg
 
Kisheria ukishakaa na mwanamke kinyumba kwa miezi 6 na zaidi, inajulikana ni mwenza wako, sasa Zari hadi kafumuliwa Engines zake zote mara 2 lazima sheria itamchukulia kama mke na atadai fidia almost sawa na mke endapo atataka kumwacha Diamond
Hakuna kitu kama hicho....unaweza kukazaa watoto kibao na mwanamke lakini kama hujamuoa hana cha kugawana na wewe...ni busara tu ndio zinaweza kutumika...kumpa chochote....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom