Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,473
- 4,007
Afisa wa TRA: Habari ya kwako
Shamsa: Nzuri, pole na kazi
Afisa TRA: Ahsante Vipi lini ulilipa kodi kwa mara ya mwisho maana naona hata mashine ya EFD hujachukua,
Shamsa: Hapana angalieni kwenye kumbukumbu zenu mashine ina rekodi kila ninachouza
Afisa TRA: Una mashine au huna maana siioni na sijaiona hapa
Shamsa: Mimi nina biashara aina mbili, moja ya kuzungusha na nyingine ya hapa dukani sasa siwezi kuwa na mashine mbili maana ya kuzungusha haina leseni ila hii ina leseni na kwakuwa ya kuzungusha ndio inakusanya hela ya haraka niliamua kumpa anaye zungusha azunguke nayo na atoe risiti huko na mimi hapa nikiuza nampigia aniandikie risiti ili ionekane huko kwenu kuwa nimelipa kodi maana yote ni mali ya hapa dukani tofauti tu ni kumpelekea mteja huko alipo.
Afisa TRA: Kha nani kakuruhusu umpe mtu atembee na mashine ya EFD
Shamsa: kwani si mlisema kila mtu awe na mashine ya EFD ili tulipe kodi ipasavyo na serikali ipate mapato
Afisa TRA: Hatujasema mtu atembee na mashine ya EFD ibaki dukani
Shamsa: mbona siwaelewi mnataka mapato au mnataka mashine ikae tu ofisini hata kama siuzi, na je yanayotoka hapa dukani yanauzwa huko nje niyafumbie macho kwa hiyo
Afisa TRA: Hapana ukiuza huko nje aje hapa dukani aorodheshe kila alichouza na aingize kwenye mashine ya EFD iliyopo hapa na si kutembea nayo
Shamsa: Ninajua jinsi ya kutumia mashine inatosha hata jinsi ya kuchangia sehem ya mapato yangu
Afisa TRA: Haya tunataka kesho tuje tukute mashine hapa dukani
Shamsa: subiri niangalie kam majini wamesharudisha (shamsa akaningia stoo ya duka)
Afisa TRA: we mama unatutania sio
Shamsa: Niwaite majini muwauliza kama sio wao walikwenda mtaani kuuza bidhaa
Afisa TRA: Huyu mama hana akili timamu
Shamsa: Haya mashine iyo hapo tena leo wameuza sana kama shilling Milioni 29 hapa kwangu ndio sijauza kabisa yote hayo mauzo ya nje majini wananiletea
Afisa TRA: ebu tuonyeshe leseni ya biashara
Shamsa: Majini ndo huwa wanaitumia njoni muwaombe maana mimi hainihusu ingeni huku store ndipo walipo
ITAENDELEA… 😀😛😎
Shamsa: Nzuri, pole na kazi
Afisa TRA: Ahsante Vipi lini ulilipa kodi kwa mara ya mwisho maana naona hata mashine ya EFD hujachukua,
Shamsa: Hapana angalieni kwenye kumbukumbu zenu mashine ina rekodi kila ninachouza
Afisa TRA: Una mashine au huna maana siioni na sijaiona hapa
Shamsa: Mimi nina biashara aina mbili, moja ya kuzungusha na nyingine ya hapa dukani sasa siwezi kuwa na mashine mbili maana ya kuzungusha haina leseni ila hii ina leseni na kwakuwa ya kuzungusha ndio inakusanya hela ya haraka niliamua kumpa anaye zungusha azunguke nayo na atoe risiti huko na mimi hapa nikiuza nampigia aniandikie risiti ili ionekane huko kwenu kuwa nimelipa kodi maana yote ni mali ya hapa dukani tofauti tu ni kumpelekea mteja huko alipo.
Afisa TRA: Kha nani kakuruhusu umpe mtu atembee na mashine ya EFD
Shamsa: kwani si mlisema kila mtu awe na mashine ya EFD ili tulipe kodi ipasavyo na serikali ipate mapato
Afisa TRA: Hatujasema mtu atembee na mashine ya EFD ibaki dukani
Shamsa: mbona siwaelewi mnataka mapato au mnataka mashine ikae tu ofisini hata kama siuzi, na je yanayotoka hapa dukani yanauzwa huko nje niyafumbie macho kwa hiyo
Afisa TRA: Hapana ukiuza huko nje aje hapa dukani aorodheshe kila alichouza na aingize kwenye mashine ya EFD iliyopo hapa na si kutembea nayo
Shamsa: Ninajua jinsi ya kutumia mashine inatosha hata jinsi ya kuchangia sehem ya mapato yangu
Afisa TRA: Haya tunataka kesho tuje tukute mashine hapa dukani
Shamsa: subiri niangalie kam majini wamesharudisha (shamsa akaningia stoo ya duka)
Afisa TRA: we mama unatutania sio
Shamsa: Niwaite majini muwauliza kama sio wao walikwenda mtaani kuuza bidhaa
Afisa TRA: Huyu mama hana akili timamu
Shamsa: Haya mashine iyo hapo tena leo wameuza sana kama shilling Milioni 29 hapa kwangu ndio sijauza kabisa yote hayo mauzo ya nje majini wananiletea
Afisa TRA: ebu tuonyeshe leseni ya biashara
Shamsa: Majini ndo huwa wanaitumia njoni muwaombe maana mimi hainihusu ingeni huku store ndipo walipo
ITAENDELEA… 😀😛😎