JamiiForums
JF Official Account
- Nov 9, 2006
- 6,202
- 5,012
SWALI: Je, Balozi zetu nje zina Tija? Je! Matatizo ya utendaji kazi kwao ni nini?
Zipo nchi nyingi tu ambazo wameamua kwamba labda tuweke ubalozi hapa na tusiweke, na wanatoa sababu na sababu nyingine ziko valid, balozi za Tanzania me niseme nyingi unakuta kwamba zina sababu na sababu ni nzuri, sababu za kimaendeleo , sababu za kuendeleza mahusiano kati ya taifa na taifa nk.
Lakini niseme tu kwamba kwa muda kwakweli sasa, hizi balozi zimekuwa kidogo ni tabu upande wa finance, upande wa kusurport staff kule, waweze kufanya kazi zao vizuri,unajua diplomasi unakutana na wenzako,wa nchi hii, nchi ile, lakini sasa kukutana si kukutana tu, mnakutana over coffee, mnakunywa kahawa, mnakutana over tea, mnakutana over lunch, kukutana kwenye reception, lakini sasa haiwezi nyie mnakwenda kwenye reception za wenzenu tu, unaalikwa lunch ni wewe, mnaalikwa chai ni wewe, wewe hutoi, yaani you don't receplocade, yaani huna, sasa of course ukipiga kelele huku, huku unajua na hali zenyewe. Kwa hiyo, hiyo hali kwa kweli ipo na wakati mwingine inawafanya wawakilishi wetu wanakuwa wanyonge hawawezi wakashiriki kama ambavyo wangeweza kushiriki kwa sababu wana limitation ya kuweza kuwawezesha katika kufanya kazi.
Lakini diplomasi ni muhimu inasaidia katika mambo mengi na ndio maana kwa mfano ile philosospy nzima ya tulivyosema tumemaliza liberation ya Afrika politically na kuona kwamba nchi nyingi sasa zimekuwa huru, sasa foreign policy ya Tanzania ifocus katika nini. Naturaly ilikuwa katika economic diplomacy, diplomacy ya kiuchumi ambayo itaweza sisi kutusaidia katika maendeleo yetu na kututoa hapa point A ya matatizo ya umasikini na tukaenda point B ambayo tunaweza kufanya.
Sasa wether hayo yanafanyika au hayafanyiki, nafikiri sasa hayo sasa evaluation watafanya wahusika huko, lakini hizi ofisi na fuction hizi ni muhimu, sasa kama zinafanyika kama inavyohitajika, kama tunapata the maximum benefit out of them kama inavyotarajiwa nafikiria hayo tena hayo ni maswala ambayo wanaweza wakayajua wengine tena.
Unajua swala hili ni gumu kidogo, kuna mabalozi wanajitahidi for the purposes ya kuona kwamba wanaweza kuleta vitu vya kuisaidia nchi hii, lakini sasa hawawezi wakafanya wenyewe, inabidi either kwa mfano, wafanye na wizara ya fedha, wafanye na wizara ya viwanda na biashara, wafanye na wizara ambayo inashughuikia maswala ya uwekezaji etc,ect.
Kwahiyo unakuta ni shughuli ambayo ina involve players wengi, coordination hiyo ya hao players hapa internally is a nightmare, ni tatizo hata ufuatiliaji unakuwa ni tatizo.
Of course me nilikuwa balozini, mnaweza mkaandika mabarua, yasijibiwe, balozi wanaweza wakaja hapa, unamkuta anatoa wizara hii anakwenda wizara hii anakwenda wizara hii anafuatilia, akishandoka ndo ameondoka na hilo limeondoka.
Kwa hiyo matatizo ni makubwa zaidi, mbali na uforeign, mbali na mabalozi lakini pia system,there is the systematic problem ambayo unaona kabisa maswala ya kuweza kufanya coordination iliyokuwa ni nzuri ya kuweza kufuatilia na kusema kwamba sisi tunafocus katika kupata,to get the maximum out of our diplomacy jinsi tunavyokwenda tuweze kupata yaani maximum tunaweza kupata,unaona kweli,
Hata Rais mwenyewe amekuwa anaisema, you could see,he speaks very well rais unaona kabisa hata emphasis yake lakini unamuona he is a loner ,he is a lone ranger you know,ukitizama yeye kashaongea,yeye kashasema anatakata tuende wapi amekwisha even point out.
Lakini sasa who picks some peaces picks from there raisi kweli kaongea,ametoa muongozo, ametoa direction nani sasa anayefuata kusema kwamba haya ya rais sasa tuyaweke sasa katika vitendo kwasababu yanainvolve kama nilivyosema wachezaji wengi, inainvolve wizara nyingi,inainvolve wanani sasa unawacordinate namna gani tofauti na nchi nyingine me I have seen diplomacy ya wahindi,nimeona diplomacy ya Algeria za hawa unaona kabisa kabisa ni diplomacy ya kupata kwa taifa lakini,sio kupata kama individuals kama watu binafsi lakini kupata kama taifa,kwahiyo hiyo unayosema bado sisi tutakua na kazi na shughuli ya kufanya ili tuweze kupata the maximum benefit kutoka katika diplomacy yetu hii.
*Zingatia hii ni swali la nne (4) katika orodha ya maswali yaliyojibiwa. Kwa taarifa zaidi tembelea - https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...rview-ya-jamiiforums-na-khamis-kagasheki.html
(Katika maandishi kutokana na video hii)
Mabalozi ni jambo ambalo hatuwezi tukaliepuka, zipo na zitaendelea kuwepo ndo uwakilishi wa hizi nchi huko nje, ni kama vile unavyoona wabunge wanaowakilisha wananchi, lakini sasa ni nchi kupanga, wanataka waweke hizi balozi wapi na ni wapi wanaona patakuwa na manufaa zaidi kwao.
Zipo nchi nyingi tu ambazo wameamua kwamba labda tuweke ubalozi hapa na tusiweke, na wanatoa sababu na sababu nyingine ziko valid, balozi za Tanzania me niseme nyingi unakuta kwamba zina sababu na sababu ni nzuri, sababu za kimaendeleo , sababu za kuendeleza mahusiano kati ya taifa na taifa nk.
Lakini niseme tu kwamba kwa muda kwakweli sasa, hizi balozi zimekuwa kidogo ni tabu upande wa finance, upande wa kusurport staff kule, waweze kufanya kazi zao vizuri,unajua diplomasi unakutana na wenzako,wa nchi hii, nchi ile, lakini sasa kukutana si kukutana tu, mnakutana over coffee, mnakunywa kahawa, mnakutana over tea, mnakutana over lunch, kukutana kwenye reception, lakini sasa haiwezi nyie mnakwenda kwenye reception za wenzenu tu, unaalikwa lunch ni wewe, mnaalikwa chai ni wewe, wewe hutoi, yaani you don't receplocade, yaani huna, sasa of course ukipiga kelele huku, huku unajua na hali zenyewe. Kwa hiyo, hiyo hali kwa kweli ipo na wakati mwingine inawafanya wawakilishi wetu wanakuwa wanyonge hawawezi wakashiriki kama ambavyo wangeweza kushiriki kwa sababu wana limitation ya kuweza kuwawezesha katika kufanya kazi.
Lakini diplomasi ni muhimu inasaidia katika mambo mengi na ndio maana kwa mfano ile philosospy nzima ya tulivyosema tumemaliza liberation ya Afrika politically na kuona kwamba nchi nyingi sasa zimekuwa huru, sasa foreign policy ya Tanzania ifocus katika nini. Naturaly ilikuwa katika economic diplomacy, diplomacy ya kiuchumi ambayo itaweza sisi kutusaidia katika maendeleo yetu na kututoa hapa point A ya matatizo ya umasikini na tukaenda point B ambayo tunaweza kufanya.
Sasa wether hayo yanafanyika au hayafanyiki, nafikiri sasa hayo sasa evaluation watafanya wahusika huko, lakini hizi ofisi na fuction hizi ni muhimu, sasa kama zinafanyika kama inavyohitajika, kama tunapata the maximum benefit out of them kama inavyotarajiwa nafikiria hayo tena hayo ni maswala ambayo wanaweza wakayajua wengine tena.
Unajua swala hili ni gumu kidogo, kuna mabalozi wanajitahidi for the purposes ya kuona kwamba wanaweza kuleta vitu vya kuisaidia nchi hii, lakini sasa hawawezi wakafanya wenyewe, inabidi either kwa mfano, wafanye na wizara ya fedha, wafanye na wizara ya viwanda na biashara, wafanye na wizara ambayo inashughuikia maswala ya uwekezaji etc,ect.
Kwahiyo unakuta ni shughuli ambayo ina involve players wengi, coordination hiyo ya hao players hapa internally is a nightmare, ni tatizo hata ufuatiliaji unakuwa ni tatizo.
Of course me nilikuwa balozini, mnaweza mkaandika mabarua, yasijibiwe, balozi wanaweza wakaja hapa, unamkuta anatoa wizara hii anakwenda wizara hii anakwenda wizara hii anafuatilia, akishandoka ndo ameondoka na hilo limeondoka.
Kwa hiyo matatizo ni makubwa zaidi, mbali na uforeign, mbali na mabalozi lakini pia system,there is the systematic problem ambayo unaona kabisa maswala ya kuweza kufanya coordination iliyokuwa ni nzuri ya kuweza kufuatilia na kusema kwamba sisi tunafocus katika kupata,to get the maximum out of our diplomacy jinsi tunavyokwenda tuweze kupata yaani maximum tunaweza kupata,unaona kweli,
Hata Rais mwenyewe amekuwa anaisema, you could see,he speaks very well rais unaona kabisa hata emphasis yake lakini unamuona he is a loner ,he is a lone ranger you know,ukitizama yeye kashaongea,yeye kashasema anatakata tuende wapi amekwisha even point out.
Lakini sasa who picks some peaces picks from there raisi kweli kaongea,ametoa muongozo, ametoa direction nani sasa anayefuata kusema kwamba haya ya rais sasa tuyaweke sasa katika vitendo kwasababu yanainvolve kama nilivyosema wachezaji wengi, inainvolve wizara nyingi,inainvolve wanani sasa unawacordinate namna gani tofauti na nchi nyingine me I have seen diplomacy ya wahindi,nimeona diplomacy ya Algeria za hawa unaona kabisa kabisa ni diplomacy ya kupata kwa taifa lakini,sio kupata kama individuals kama watu binafsi lakini kupata kama taifa,kwahiyo hiyo unayosema bado sisi tutakua na kazi na shughuli ya kufanya ili tuweze kupata the maximum benefit kutoka katika diplomacy yetu hii.
*Zingatia hii ni swali la nne (4) katika orodha ya maswali yaliyojibiwa. Kwa taarifa zaidi tembelea - https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...rview-ya-jamiiforums-na-khamis-kagasheki.html
Last edited by a moderator: