Mahita kwa BABU akipata dawa

Inkoskaz

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2010
Posts
6,360
Reaction score
2,389
Jionee mwenyewe former IGP akijisevia
 

Attachments

  • P1000061.JPG
    107.4 KB · Views: 901
  • P1000057.JPG
    92.6 KB · Views: 938
  • P1000067.JPG
    82.7 KB · Views: 942
  • P1000054.JPG
    93.6 KB · Views: 984
  • P1000059.JPG
    120.3 KB · Views: 1,041
  • P1000069.JPG
    68.2 KB · Views: 1,029
  • P1000075.JPG
    107.7 KB · Views: 884
  • P1000062.JPG
    101.3 KB · Views: 875
  • P1000060.JPG
    135.8 KB · Views: 903
  • P1000072.JPG
    49.7 KB · Views: 897
  • P1000052.JPG
    73 KB · Views: 853
  • P1000066.JPG
    86.2 KB · Views: 887
  • P1000064.JPG
    97.9 KB · Views: 860
  • P1000070.JPG
    95.8 KB · Views: 890
  • P1000056.JPG
    96 KB · Views: 875
  • P1000055.JPG
    86.4 KB · Views: 871
  • P1000073.JPG
    88.4 KB · Views: 1,230
  • P1000053.JPG
    77.6 KB · Views: 852
  • P1000068.JPG
    99.1 KB · Views: 882
  • P1000063.JPG
    62.6 KB · Views: 847
  • P1000058.JPG
    119 KB · Views: 837
  • P1000074.JPG
    69.6 KB · Views: 882
  • P1000051.JPG
    81.3 KB · Views: 864
  • P1000065.JPG
    71.2 KB · Views: 869
  • P1000071.JPG
    87.5 KB · Views: 1,261
Hahahahahaha kumbe huyu mzee si NGUNGULI kama alivyojinadi miaka ile hahahahahaha Jamani KIKOMBE CHA UZIMA si mchezooooo
 
Yeye anapingana na tamko la serikali?
 
mkuu asante kw a kukuza...umeziona nyingine hapo chini?
 
Hii nzuri sana itatusaidia watakapotupiga mabomu kwa sababu tumekataa kuacha kwenda loliondo, maana wao wameshamalizika na watoto na wajukuu wao sasa wanatukataza ili waendelee kutuvuna kwenye hospitali zao na 10% za ARVs wanazotubwagia huko medical stores
 
Watanzania sisi wote ni wagonjwa huyo babu wa loliondo serikali ingemthamini akatutibu ili kupunguza gharama za kwenda hospitalini.mimi nina imani kabisa hii dawa inatibu,watu wote hao mpaka leo tungesikia kuwa kuna mtu amepata athari.
 
Inkosikaz, wewe umeshapata kikombe?, ulikuwa unasumbuliwa na nini?, pole mwaya enenda kwa amani imani yako imekuponya.
 
Inkosikaz, wewe umeshapata kikombe?, ulikuwa unasumbuliwa na nini?, pole mwaya enenda kwa amani imani yako imekuponya.

Asante sana Gamma..lakini kila binadamu ni mgonjwa kwa namna moja ama nyingine...
 
Serikali hapa lazima ifanye jambo la ziada sio kutoa majibu mepesi mepesi kwenye suala linalohusu maisha ya watu wengi kama hivi.Kwa kweli kwa babu kumefunga duuuuu!
 
Duh Hospital ya Babu kiboko hakuna cha mlalahoi wala mkuu wa nchi.Mkuu wa Kayaa alikuwa wa mwanzo mwanzo,Mzee Ruksa akaja Lowasa mawaziri kuanzia awamu ya kwanza hadi ya nne ndiyo usiseme Maaskofu na masheckh hawakubaki nyuma Kakobe wewe ni nani Mahita na ngunguri yake kasalimu amri katia mguu Hospital ya Rufaa kwa Babu Loliondo.
 
:lol: Duh huyu mtoto ni yule aliyezaa na beki tatu akamkana duh damu nzito kuliko maji.

 
Kumbe mwenyewe tu ndo sijaenda kwa babu?? ngoja niwahi tiket kesho asubuhiiiiiiiiiiiiii!!
 
Nimeipenda sana hii!
Du kumbe wakubwa woote tayari! sasa wanazuia nini! waache na wengine wakajinywee!
Hawana haya hata kidogo!
Babu hoyeee!!!
 
Huyo mtoto aliyeongozana na Mahita anaoneka mgonjwa, heri kama alikunywa dawa.
 
Dah, kwa jinsi jamaa alivomfatilia na kupiga picha zake, imeniacha hoi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…