antiwela Member Joined Aug 8, 2013 Posts 15 Reaction score 4 Apr 25, 2016 #1 Salaaam!! Natafuta mteja /wateja wa kununua mahindi. Nina gunia 200 kwa sasa bei Tsh 65000 kwa kila gunia..
Salaaam!! Natafuta mteja /wateja wa kununua mahindi. Nina gunia 200 kwa sasa bei Tsh 65000 kwa kila gunia..
R Rubo Senior Member Joined Jan 21, 2015 Posts 138 Reaction score 66 Jul 2, 2016 #2 Yapo mkoa gani? Hizo gunia zinakua na kilo ngapi?