Saa nane mchana?? Kweli watu wanapenda ngono kha??!!!
Sema Mungu atuepushie, raha haziapiwi!Iwe ni fundisho kwao na wengine wenye tabia ya kuiba wake/waume wa wenzao.
Habari nilizozipata leo hii kutoka kwa rafiki wa jirani wa jamaa mwenye mke ni kwamba HUYO MGANGA ALIYETEGA HIVYO AMESHAKUFA MWAKA JANA NA KWA BAHATI MBAYA HAKUMPA DAWA YA KUGANGUA PINDI JAMBO KAMA HILI LINAPOTOKEA!
Teh teh teh mpaka sasa jamaa amekumbatia mzigo hofu yangu akija mwenye mke atataka kula tiGo kwa jamaa ajiandae kwa hilo
Weka picha!
mkuu picha tena!!
Saa nane mchana?? Kweli watu wanapenda ngono kha??!!!
Saa nane mchana?? Kweli watu wanapenda ngono kha??!!!
Mahawara wamehamishiwa Rufaa Mbeya sijui madaktari wataweza kunasua.
Wataalam wa mambo wa Tanga kunani wanasema ni usinge
hapo ss, afu watakuwa fukara tuu yan! baada ya kufanya kazi wanawaza ngono dah!