Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,949
- 4,444
Mke na mme wamenasana jana wakifanya mapenzi guest house mjini Tunduma jana saa 8 mchana. Mahawahara hao kila mmoja ana ndoa yake juhudi zilifanyika kuwakimbiza hospt Mbozi mpaka sasa bado wameng'ang'aniana wenzetu wamassai wanasema imemesa mwenzie. Haijaeleweka nani aliyetega sumaku hiyo.Naendelea kufuatilia kila hatua nitawajuza.
Updates
=========================================
Bado wapo hospitali Vwawa madaktari wanashindwa kuwanasua maana aidha wakate uume wa mwanaume ambapo itamghalimu maisha yake kukata uke nao imeshindikana wanamtafuta aliye fanya sayansi hiyo.
Walikuwa wanaburudika kwa style ya kifo cha mende.
Walikuwa Guest moja inaitwa Kampala ipo karibu na Tanesco pale Tunduma
Updates
=========================================
Bado wapo hospitali Vwawa madaktari wanashindwa kuwanasua maana aidha wakate uume wa mwanaume ambapo itamghalimu maisha yake kukata uke nao imeshindikana wanamtafuta aliye fanya sayansi hiyo.
Walikuwa wanaburudika kwa style ya kifo cha mende.
Walikuwa Guest moja inaitwa Kampala ipo karibu na Tanesco pale Tunduma