Mahari zingine bhana

Mahari zingine bhana

Naona kuna ngurue lakin kwa mbali naona kuna jamaa kapiga kanzu safi....sasa sijui sheikh anaondoka wamemkasirisha
 
Hahahahahaahhahahahahahahahahahahahahahahahahahhaha
 
Doh! Yani nimewacheki hao viti moto hadi mate yananidondoka
 
Sasa mkuu mlifanikiwa kuchukua mke au??
hapana mkuu,walitaka tuwape na mizani tukagundua kuwa wanataka kuanzisha mradi wa bucha.
tumeondoka na mke kwa nguvu,tunasubiri waje na polisi.
 
Hao Noah wanne tayali milioni imefika. Bado hayo maboksi na mazagazaga mengine? Yani mi mahali mwisho Laki 7 , ikizidi hapo napiga mimba
 
Ndio maana si wengine tunatundika mimba tu biashara imekwisha.

Dawa yake ndio hiyo, unaanza mechi ushafunga goli moja bila au hata mbili.... Unaweza kupewa kiundugu tu. 😀😀
 
Hao Noah wanne tayali milioni imefika. Bado hayo maboksi na mazagazaga mengine? Yani mi mahali mwisho Laki 7 , ikizidi hapo napiga mimba
Njoo uoe huku kwetu Pwani, mahari haizidi 70,000/=
 
Back
Top Bottom