Mahari ya Single Mom

Mwenyez Mungu Mwenyewe alimuumba Hawa akiwa hana mtoto kisha akamleta kwa Adam inamaana mfano huo hamuuoni tu.....unaanzaje kuoa single mother kijana na akili zako timamu ujue chakwanza huyo single mother atakudharau kimoyomoyo
aisee.una uzoefu katika hili?
 
mzee kubakwa ni kesi nyingine.aliyebakwa hajafanya huo uzinzi unaosema
N uzinzi tu.
Wanaume tusipofikiri uzinzi tutabaka?
Wanawake wasipotuvalia viguo vyao vile tutawabaka?
Wanawake wakiacha minyodo tutawabaka?

Shilole kwa mfano unavyohisi alibakwa bahati mbaya? Na kama ilikuwa bahati mbaya why leo yuko hivi anakaa utupu, analiwa na wadogo zake, anamdomo mchafu why bro?
 
Jamani .....tuwe na Soni ya maneno yani mwanamke kuzaa amekuwa kopo? Hata Kama sio matumizi sahii ya maneno.


Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu rolla usinielewe vibaya tafadhali,akizaa ndani ya ndoa huyo ni wa kuheshimiwa sana tena sana but akizalia kwa baba yake hakuna namna nyengine ya kumuita zaidi ya hivyo.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Kuoa single mother ni sawa nakunnua kiwanja chenye mgogoro
 
 
Usimpige risasi nipe kazi ya kumroga. usukumani wapuuzi kama hawa marufuku kuja.

Ntumbavu sana masingomama

Masingke mom ukichunhuza vizuri akili zao zinakuwa haziko sawa yani kila bwana akimtokea lazima atanue tu

Sijawahi kuwakubali masingle mom hata kidogo maana madishi yao kidogo huwa yameyumba sana


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Masingke mom ukichunhuza vizuri akili zao zinakuwa haziko sawa yani kila bwana akimtokea lazima atanue tu

Sijawahi kuwakubali masingle mom hata kidogo maana madishi yao kidogo huwa yameyumba sana


Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna baba yetu mdogo mwaka 2006 alioa mwanamke aliyezalishwa alikuwa mzuri sana, baba mdogo alipeleka ng'ombe 7 na bado akawa anadaiwa watatu.
Kilichokuja kumkuta 2011 hatakisahau maisha yake yote huko aliko.
 
Kuna baba yetu mdogo mwaka 2006 alioa mwanamke aliyezalishwa alikuwa mzuri sana, baba mdogo alipeleka ng'ombe 7 na bado akawa anadaiwa watatu.
Kilichokuja kumkuta 2011 hatakisahau maisha yake yote huko aliko.
.nini kilimkuta?
 
Napendekeza masingle mother wawe kusaidia maisha tu kwa matumizi sio ndoa siwezi kushindana na kiumbe kilichokimbia km nyingi wakati mwenzio hata nusu sijafikisha
 
.nini kilimkuta?
Alianza kuchapiwa na bwana aliyemzalisha bila kujua, mwanamke alikuwa akimuhudumia huyo bwana kwa pesa anazopewa na baba mdogo.
.
Walikubaliana mtoto akae kwa baba ake, ila mtoto akaletwa na akaanza kumlisha yeye haya yasingemuumiza sana maana alikuwa tahira toka mwanzo kuoa single mother.

Kubwa kuliko ni pale alipoanza kutembea na wanaume wa eneo walilokuwa wakiishi single mother huwa wagumu dakika ya kwanza pekee kati ya tisini alitaka kujiua akaponea mirembe baba mdogo.
 
Hii nimeipenda Mkuu. Tena Sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Ndiyo maana napenda kuwashauri vijana wasioe hizi ndama zilizozalishwa zikaachwa maana siku zote mwanamke aliyezaa na mwanaume mwingine huwezi kumzuia huyo kumpeleka mtoto kwa baba yake mzazi sasa hapo huoni kuna mambo ya ngono yatakuwepo tu kati ya hao wazaZi wawili

Ukioa mwanmke aliyezaa wewe jiandae tu kuchapiwa na huyo bwana aliyemzalisha tena kiurahisi na bila kuibia maana atakuaga anampeleka mtoto kwa baba yake


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna uhusiano kati ya umalaya ni single mom, malaya ni malaya tu no matter what

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh waonee huruma yaanu una roho ngumu kama trump
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…