Mahari(bride price): Kuna ulazima wa kuomba mahari kwa wazazi?

kinehe

JF-Expert Member
Jul 2, 2016
205
198
Habari waungwana,

Naomba kujua hivi kuna ulazima wowote wakwenda kwa wazazi kuwaomba mahari ili ukaoe? Ilihali wamekusomesha hadi kazi wakakutafutia ukapata.
 
Habari waungwana,,
Naomba kujua hivi kuna ulazima wowote wakwenda kwa wazazi kuwaomba mahari ili ukaoe?? Ilihali wamekusomesha hadi kazi wakakutaftia ukapata,,
Kama unajiweza ni bora ujitolee mwenyewe mahali kuliko kuwategemea wazazi au ndugu zako. Hili litakujengea heshima zaidi.
Pia kumbuka mahali huwa haiishi yote kwa siku moja. Deal na vitu vya msingi vinavyohitajika, vingine utakuwa unatoa taratibu.
 
mtoto wa kiume ukamwombe babako mahari???
mabwaku!!

hakuna ulazima na pia sio vizuri..ila inategea na familia.wengine wazaz wao wapo fresh wanalipa tu
 
Kama unajiweza ni bora ujitolee mwenyewe mahali kuliko kuwategemea wazazi au ndugu zako. Ili litakujengea heshima zaidi.
Pia kumbuka mahali huwa haiishi yote kwa siku moja. Deal na vitu vya msingi vinavyohitajika, vingine utakuwa unatoa taratibu.
Vitu vya msingi ni kama vp mkuu?
 
Habari waungwana,,
Naomba kujua hivi kuna ulazima wowote wakwenda kwa wazazi kuwaomba mahari ili ukaoe?? Ilihali wamekusomesha hadi kazi wakakutaftia ukapata,,

LABDA ZAMANI SIKU HIZI WAZAZI HAWAWATOLEI MAHARI KWA WATOTO WAO.LABDA UPATE BAHATI WAKUPE ASEEE.
Siku hizi ni kutafuta mwenyewe mkuuu hakuna mteremko
 
Vitu vya msingi ni kama vp mkuu?
Hapa inategemea na sehemu/kabila unalotegemea kwenda kuoa, sasa wanakuwa na taratibu zao za kukuambia labda blankets la bibi, koti la Babu, mbuzi/kundoo/ng'ombe n.k.
Kwahiyo fanya kuwasiliana na huyo umtoleae mahali akufanyie utafiti wa kujua katika mahali ya utakayotoa ni nini hasa vianze au vya lazima. Pia washenga wako (kama unao) watakuwa wameishafanya tafiti na kujua
 
Back
Top Bottom