runyaga
JF-Expert Member
- Dec 23, 2013
- 523
- 241
Wasalaam ndugu.
Kama kichwa habari kinavyojieleza,
nina maharage mengi zaidi ya kilo 3500 ila yameingiliwa na wadudu kwa kiasi kidogo sana. yapo aina mbili; soya na meupe madogo, ni maharage kutoka bukoba
Haya nayauza kwa bei ya hasara kwa Tsh 1500 kwa kilo, nipo Dar es Salaam, Mbezi beach.
KARIBUNI SANA
Karibu dm kwa mawasiliano zaidi.
Kama kichwa habari kinavyojieleza,
nina maharage mengi zaidi ya kilo 3500 ila yameingiliwa na wadudu kwa kiasi kidogo sana. yapo aina mbili; soya na meupe madogo, ni maharage kutoka bukoba
Haya nayauza kwa bei ya hasara kwa Tsh 1500 kwa kilo, nipo Dar es Salaam, Mbezi beach.
KARIBUNI SANA
Karibu dm kwa mawasiliano zaidi.