Maharage ya Mafuta ya Taa shule za Boys!!!

Maharage ya Mafuta ya Taa shule za Boys!!!

fredito13

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2012
Posts
213
Reaction score
146
Wakati nasoma shule ya sekondari (Songea Boys na Malangali boys) kulikua na tabia ya wapishi kuweka mafuta ya taa kwenye maharage ili kutupunguzia ashki/mhemko! Je ni kweli mafuta hayo hua yanasaidia kupunguza ashki na mihemko?

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Sure hata mzee shedy(mpishi mkuu)wa Mazengo complex-Dom alkuwa na hako kautaratibu ka kuweka mafuta ya taa mfululizo. Ni kawaida yao
 
Ni kweli kabisa hata Chief cheuf wa Milambo boys wakati huo Mzee Msengi alikuwa anatuchanganyia kwenye dona na maharage mbona ilikuwa kawaida sana ila si kila siku na hawaweki mengi ila wangeacha watoto wangegeuza boarding school danguro kwa mambo ya kule kigamboninoooooo
 
Wakati nasoma shule ya sekondari (Songea Boys na Malangali boys) kulikua na tabia ya wapishi kuweka mafuta ya taa kwenye maharage ili kutupunguzia ashki/mhemko! Je ni kweli mafuta hayo hua yanasaidia kupunguza ashki na mihemko?

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Ni kweli. Ulimaliza Songea Boys aka Box 2 lini?
 
Wakati nasoma shule ya sekondari (Songea Boys na Malangali boys) kulikua na tabia ya wapishi kuweka mafuta ya taa kwenye maharage ili kutupunguzia ashki/mhemko! Je ni kweli mafuta hayo hua yanasaidia kupunguza ashki na mihemko?

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

Daaaaaaaaaaahhhhhhhhh
Umenikumbusha mpishi wetu maarufu alikuwa anaitwa JAMAICA@Makumix.
Awali niliwahi kulalamika kuwa wapishi wetu hawapo makini/wazembe hadi mafuta ya taa yanamwagikia kwenye chakula. Kweli usilolijua litakusumbua.
Ila kama kweli yanapunguza Ashki, mbona libeneke lilikuwa linaendelezwa? au wangekuwa hawaweki ingekuwa balaa zaidi?
Wapi akina..................................... (1997 - 2000 @ Makumix)
 
Wakati nasoma shule ya sekondari (Songea Boys na Malangali boys) kulikua na tabia ya wapishi kuweka mafuta ya taa kwenye maharage ili kutupunguzia ashki/mhemko! Je ni kweli mafuta hayo hua yanasaidia kupunguza ashki na mihemko?

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

True that ila yacwe too much.
 
Wakati nasoma shule ya
sekondari (Songea Boys na Malangali boys) kulikua na tabia ya wapishi
kuweka mafuta ya taa kwenye maharage ili kutupunguzia ashki/mhemko! Je
ni kweli mafuta hayo hua yanasaidia kupunguza ashki na mihemko?

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

mmm hata shule ya mchanganyko wanaweka...imagine tuliwekewa kwenye chai one day
 
Tunawasubiria tu baadaye mnaanza,dokta nadhani hii dushe.. bado inafikiri niko boarding ina mwezi sasa hainipi ushirikiano ipasavyo mpaka wife ananuna!
 
Dah hiyo ilinikuta KWIRO BOYS...........KITU LIVE BILA CHENGA
 
Back
Top Bottom