Maharage Chande wa TANESCO ameingiaje utumishi wa umma akiwa na umri zaidi ya miaka 45?

tuonyeshe wapi imeandikwa

3.3 Wasioruhusiwa Kuajiriwa katika Utumishi wa Umma Kanuni ya 17 ya Kanuni za Utumishi wa Umma za mwaka 2003 huainisha watu wasioruhusiwa kuajiriwa katika Utumishi wa Umma. Watu hao ni:-
 Mtu aliyepatikana na hatia na kuhukumiwa kwa kosa la jinai linalohusu upotofu wa kimaadili au rushwa.
 Mtumishi ambaye tayari amefukuzwa kazi katika Utumishi wa Umma.
 Mtumishi aliyestaafishwa kazi kwa manufaa ya Umma.
 Asiyekuwa na sifa zilizopo kwenye muundo wa utumishi wa mtumishi husika.
 Aliyethibitika kuwa hana akili timamu na,
 Asiye raia wa Tanzania.

Acha kukariri.

Ukiingia kwenye utumishi wa umma baada ya miaka 45 unavunja taratibu na sheria za hifadhi za jamii, mafao na pensheni.

Maharage pia anakosa sifa za kukabidhiwa shirika kubwa kuliko yote nchini Tanzania. DSTV haifanani na TANESCO.

Pia inabidi akafundishwe from scratch, kuanzia mwanzo kabisa kuhusu tamaduni, taratibu, kanuni na sheria za utumishi wa Umma. He is a project in developmemt.

Maharage Chande mpaka leo hajui kwamba serikalini hakuna bajeti ya kumlipa mtu Pay-for-Performance. Hajui salary scale ni kitu gani. Aliongea vituko siku anatambulishwa.
 
Magufuli ndio alikuwa kinara wa kuokota watu huko nje ya serikali na kuwaingiza kwenye utumishi wa umma lakini wala hamkuhoji!
 
Mbona Bashiru aliteuliwa kuwa Katibu Mkuu Kiongozi na wakati anazaidi ya miaka 50 na hakuwa mtumishi wa umma?
Hili limeshajibiwa.

Bashiru Ally, kabla hajaenda Ikulu, alikuwa mtumishi wa umma University of Dar es Salaam.

Dr. Tito Mwinuka aliyetumbuliwa na Rais Samia alikuwa mtumishi wa umma kabla ya TANESCO kama Mkufunzi wa Uhandisi wa Umeme University of Dar es Salaam.

Maharage ametokea uraiani kuingia kwenye utumishi wa umma past the age of 45. How on earth ?
 
Hili limeshajibiwa.

Bashiru Ally, kabla hajaenda Ikulu, alikuwa mtumishi wa umma University of Dar es Salaam.

Dr. Tito Mwinuka aliyetumbuliwa na Rais Samia alikuwa mtumishi wa umma kabla ya TANESCO kama Mkufunzi wa Uhandisi wa Umeme University of Dar es Salaam.

Maharage ametokea uraiani kuingia kwenye utumishi wa umma past the age of 45. How on earth ?
Ndiyo uone umuhimu wa katiba mkuu mazee, hii katiba Headmaster wa Moshi tech anaweza kuteuliwa kuwa Jaji Mkuu na huwezi kuhoji
 
Kweli hakuwahi kuwa mtumishi wa umma ,ila aliwahi kuwa COO NBC bank na huku serikalini kumeoza kunahitaji watu wenye energy na vision kutoka private sector ,age sio tatizo kwa level ya cheo chake.
Hivi serikalini ni such trash haiwezi kulea watu wake wakawa mahiri wanabakigi kutukopa private sectors tu. I had never heard jamaa nguli katoka public sector serikalini kaja kawa CEO wa kampuni ya private company na aka excell.

What a shamble

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Cheo cha Mkurugenzi mtendaji huwezi kukipata ukiwa na 30s ,bado hujaiva experience matters. Mbona watu wanapewa uwaziri,DED na vyeo vingine wakiwa above 40?
Aisee unaongelea nchi gani,? You can be CEO at your own age. Unaongelea mazoea yenu ya Tanzania ya huwezi kuwa mkurugenzi under 40!? DEDs wapo, mawaziri wapo, DCs, mabalozi it happened under 30! What about Nyerere

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Amekuja kwa mbwembwe ataondoka kwa aibu..... Tanesco ni siasa yy sio mtu mwisho kufanya maamuzi....
 
Yule mwanasheria mkuu hakufika 45?
Alikuwa Adelarsus Kilangi, Mwanaheria Mkuu wa Magufuli

Alizaliwa 1955
Akateuliwa 2018

Alikuwa na miaka 63, yani amepitiliza umri wa kustaafu kwa lazima by 3 years. Huyu haingii kwenye penshionable employment, hivyo taratibu hazijavunjwa.

Kazi za umma zikitangazwa zinasema mwisho 45. Na ni kwa sababu ya sheria za mifuko ya hifadhi ya jamii.

Maharage wa January Makamba amepita 45, na hajafika 60, anaingiaje utumishi wa umma ?
 
Kwani mkurugenzi aliyeondoka aliingia Tanesco akiwa na umri gani?
Tumeona watu hawajawahi kua class monitors lkn wakaleta matokeo chanya. Unamkumbuka Prof. Luhanga VC UDSM?
Acheni hizo. Maharage piga kazi. Prove them wrong.
Wewe hujaelewa hoja ya mtoa mada, issue ni, unawezaje kuingia kwenye utumishi wa Umma ilhali umri wako unazidi 45yrs? Kama ww ni mtumishi wa Umma, unaweza kuteuliwa kuwa mkurugenzi hata ukiwa na 50s
 
Maharage Chande, Mkurugenzi Mtendaji mpya wa TANESCO ana umri zaidi ya miaka 45. Ameingiaje kwenye utumishi wa Umma ?

Au ni urafiki wake na Waziri wa Nishati January Makamba (cronyism) ndio umempa upendeleo huu ? Makamba ndio amepeleka jina kwa Rais. Rais hamjui Maharage.

Matokeo ya cronyism ndio haya: Chande hana background au experience ya utumishi wa umma, wala kazi za shirika la nishati wala shirika la fani yeyote lenye ukubwa na ugumu wa uendeshaji kama TANESCO. Ametokea DSTV na kabla ya hapo Vodacom.

Kituko cha kwanza cha Chande alikitoa kwenye hotuba yake ya utambulisho mbele ya hadhara, waandishi, wateule wenzie wapya pamoja na Waziri.

Akasema anataka PAY-FOR-PERFOMANCE, mfumo wa ulipaji kulingana na ufanisi kiutendaji. Toka lini kwenye public sector mtu analipwa tofauti na salary scale yake ??? Huyu jamaa hana clue na mifumo ya ujira za utumishi wa umma. Speech yake ya kwanza anatueleza ndoto za Alinacha za jinsi watakavyolipana badala ya matatizo ya upatikanaji umeme wa uhakika.

Tunaomba January Makamba ujali na uwe serious na kazi yako. Tunajua huna sana uchungu na wananchi na kuhuwahi kusota kupata kazi hizi kwa vile ulibebwa na majina ya baba zako Yusufu (nepotism) na Jakaya (cronyism), na siku zote vyeo vimekuwa vikikujia, kuondoka na kurudi kirahisi rahisi. Jisafishe, tunaomba uanze kujali
Jitahidini kufanya research kabla ya kuhoji jambo,Kama huna majibu usihoji au chokoza tu upate majibu Sasa wewe umehoji na kujipa majibu wakati huo research.Soma katiba na sheria ujue mamlaka ta Rais,soma sheria za makampuni au mashirika umma kwanza utapata jibu
 
Maharage Chande, Mkurugenzi Mtendaji mpya wa TANESCO ana umri zaidi ya miaka 45. Ameingiaje kwenye utumishi wa Umma ?

Au ni urafiki wake na Waziri wa Nishati January Makamba (cronyism) ndio umempa upendeleo huu ? Makamba ndio amepeleka jina kwa Rais. Rais hamjui Maharage.

Matokeo ya cronyism ndio haya: Chande hana background au experience ya utumishi wa umma, wala kazi za shirika la nishati wala shirika la fani yeyote lenye ukubwa na ugumu wa uendeshaji kama TANESCO. Ametokea DSTV na kabla ya hapo Vodacom.

Kituko cha kwanza cha Chande alikitoa kwenye hotuba yake ya utambulisho mbele ya hadhara, waandishi, wateule wenzie wapya pamoja na Waziri.

Akasema anataka PAY-FOR-PERFOMANCE, mfumo wa ulipaji kulingana na ufanisi kiutendaji. Toka lini kwenye public sector mtu analipwa tofauti na salary scale yake ??? Huyu jamaa hana clue na mifumo ya ujira za utumishi wa umma. Speech yake ya kwanza anatueleza ndoto za Alinacha za jinsi watakavyolipana badala ya matatizo ya upatikanaji umeme wa uhakika.

Tunaomba January Makamba ujali na uwe serious na kazi yako. Tunajua huna sana uchungu na wananchi na kuhuwahi kusota kupata kazi hizi kwa vile ulibebwa na majina ya baba zako Yusufu (nepotism) na Jakaya (cronyism), na siku zote vyeo vimekuwa vikikujia, kuondoka na kurudi kirahisi rahisi. Jisafishe, tunaomba uanze kujali.

Ni vema ujue kuwa wa Tanzania wasomi na wazuri wengi hawapo serikalini yaani hawaajiriwi serikalini, wapo kwenye Private sectors na international organizations kwani wameweza kushindana na watu kutoka nchi tofauti duniani na hata kutoka dunia ya kwanza(first world)! Sasa serikali ya Rais Samia suluhu imetambua hayo mfano Mhandisi mchapakazi Omari Isa(Chairman mpya ya TANESCO)! Hata wana sheria wazuri wapo nje ya mfumo wa serikali ndo maana ya mikataba mibovu yote iliyowahi kupitishwa!! Bado kuna wataamu wengi WaTanzania ambao wapo nje ya nchi, mpaka nuclear scientists, wapo!! Umeona yanayotokea, kupandishwa vyeo ni ngumu just to frustrate the intellectuals ili waondoke! Say the truth and ashame the devil!
 
Maharage Chande, Mkurugenzi Mtendaji mpya wa TANESCO ana umri zaidi ya miaka 45. Ameingiaje kwenye utumishi wa Umma ?

Au ni urafiki wake na Waziri wa Nishati January Makamba (cronyism) ndio umempa upendeleo huu ? Makamba ndio amepeleka jina kwa Rais. Rais hamjui Maharage.

Matokeo ya cronyism ndio haya: Chande hana background au experience ya utumishi wa umma, wala kazi za shirika la nishati wala shirika la fani yeyote lenye ukubwa na ugumu wa uendeshaji kama TANESCO. Ametokea DSTV na kabla ya hapo Vodacom.

Kituko cha kwanza cha Chande alikitoa kwenye hotuba yake ya utambulisho mbele ya hadhara, waandishi, wateule wenzie wapya pamoja na Waziri.

Akasema anataka PAY-FOR-PERFOMANCE, mfumo wa ulipaji kulingana na ufanisi kiutendaji. Toka lini kwenye public sector mtu analipwa tofauti na salary scale yake ??? Huyu jamaa hana clue na mifumo ya ujira za utumishi wa umma. Speech yake ya kwanza anatueleza ndoto za Alinacha za jinsi watakavyolipana badala ya matatizo ya upatikanaji umeme wa uhakika.

Tunaomba January Makamba ujali na uwe serious na kazi yako. Tunajua huna sana uchungu na wananchi na kuhuwahi kusota kupata kazi hizi kwa vile ulibebwa na majina ya baba zako Yusufu (nepotism) na Jakaya (cronyism), na siku zote vyeo vimekuwa vikikujia, kuondoka na kurudi kirahisi rahisi. Jisafishe, tunaomba uanze kujali.
Acha usenge, mshazoea kulipana bila kufanya kazi nyau wewe, utalipwa kutokana na performance yako mwehu wewe
 
Maharage Chande, Mkurugenzi Mtendaji mpya wa TANESCO ana umri zaidi ya miaka 45. Ameingiaje kwenye utumishi wa Umma ?

Au ni urafiki wake na Waziri wa Nishati January Makamba (cronyism) ndio umempa upendeleo huu ? Makamba ndio amepeleka jina kwa Rais. Rais hamjui Maharage.

Matokeo ya cronyism ndio haya: Chande hana background au experience ya utumishi wa umma, wala kazi za shirika la nishati wala shirika la fani yeyote lenye ukubwa na ugumu wa uendeshaji kama TANESCO. Ametokea DSTV na kabla ya hapo Vodacom.

Kituko cha kwanza cha Chande alikitoa kwenye hotuba yake ya utambulisho mbele ya hadhara, waandishi, wateule wenzie wapya pamoja na Waziri.

Akasema anataka PAY-FOR-PERFOMANCE, mfumo wa ulipaji kulingana na ufanisi kiutendaji. Toka lini kwenye public sector mtu analipwa tofauti na salary scale yake ??? Huyu jamaa hana clue na mifumo ya ujira za utumishi wa umma. Speech yake ya kwanza anatueleza ndoto za Alinacha za jinsi watakavyolipana badala ya matatizo ya upatikanaji umeme wa uhakika.

Tunaomba January Makamba ujali na uwe serious na kazi yako. Tunajua huna sana uchungu na wananchi na kuhuwahi kusota kupata kazi hizi kwa vile ulibebwa na majina ya baba zako Yusufu (nepotism) na Jakaya (cronyism), na siku zote vyeo vimekuwa vikikujia, kuondoka na kurudi kirahisi rahisi. Jisafishe, tunaomba uanze kujali.
Acha chuki na wivu mambo ya age discrimination yamepitwa na wakati ndio maana unakuta Trump na Biden maraisi wa most powerfull county in the world.

Pay for performance ni muhimu hiyo mifumo za kizamani ya GVT ndio inazaa uzembe public sector hata Botswana wana mfumo we pay per performance
na unaleta ufanisi mkubwa.

Hiyo mifumo mibovu sio Bible au Quran ibadishwe tukitaka kuendelea.
 
Back
Top Bottom