Maharage Chande: Tuache kupeana maneno tamutamu; bei ya Tsh 27,000/= haitoshi kuunganisha umeme

Kama POMBE. Alikuwa anadanganya wajinga wenzake na leo wanaamini kwamba ati kuunganisha umeme ni 27000 tu.
Hovyoooo
Magufuli akudanganya watu hiyo kazi kaifanya kwa miaka 5 atukisikia tanesco wakilialia,tena mpango wa tenesco ilikuwa wakimaliza kuunganisha vijijini 3,000 walivyokuwa wamebakiza, ilikuwa ni kila nyumba inaunganishiwa umeme bure wewe unaanza kulipa bili kama wanavyofanya dawasco, Sasahivi tanesco wameingia majizi wanaanza kusema 27,000 elfu ni ndogo,Wamulize waziri aliyekuwepo alifanyaje na akafanikiwa.Mwinyi kule Zanzibar kapiga marufuku mwananchi kuuziwa nguzo.zanzibar wameweza huku bara kinashindikana nini?Wizi mtupu
 
Magufuri akudanganya watu hiyo kazi kaifanya kwa miaka 5 atukisikia tanesco wakilialia,tena mpango wa tenesco ilikuwa wakimaliza kuunganisha vijijini 3,000 walivyokuwa wamebakiza, ilikuwa ni kila nyumba inaunganishiwa umeme bure wewe unaanza kulipa bili kama wanavyofanya dawasco, Sasahivi tanesco wameingia majizi wanaanza kusema 27,000 elfu ni ndogo,Wamulize waziri aliyekuwepo alifanyaje na akafanikiwa.Mwinyi kule Zanzibar kapiga marufuku mwananchi kuuziwa nguzo.zanzibar wameweza huku bara kinashindikana nini?Wizi mtupu
Kama ulishawahi kukutana na watu wapumbavu.
Magufuli ni mmoja wapo. Sina cha kukushwishi zaidi ila magufuli alikuwa mpumbavu
 
Tatizo la wengi hawafahamu unapounganisha umeme bila malipo ni faida kubwa kwa jamii kupunguza umasikini. Nchi zilizoendelea kila raia analipwa na Serikali kipato cha kuishi maisha ya kawaida.

BTW Wakati wa JPM aliweza hilo bila kumung'unya maneno leo hii hizo zinakwenda kwenye utalii wa wachache usio na tija kwa taifa.

BTW Mwalimu alisema maendeleo hayaletwi na pesa - Alikuwa sahihi 100%
 
Leo tarehe 23.02.2022 mkurugenzi wa TANESCO, MAHARAGE CHANDE ameongea na vyombo vya habari kwa kueleza umma kuwa hakuna umeme wa tsh 27, 000/= tuache kupeana maneno matamu matamu katika kuendesha shirika hilo. Amesema ni vigumu sana kutofautisha mjini na vijijini
Bongo Daresalama wale waigizani waleandaga wapi... kina Dude
 
Bado hatujafika kwenye peak ya kumkubka jiwe kiukwel tutaimba key moja maza aendelee hivi hivi kuupiga mwingi unadhani maza anahasara basi sabu hatukumchagua
 
Tanesco wanapashwa wafikishe huduma Kwa wateja halafu mteja anunue umeme, faida haipo kwenye kuunganisha umeme Kwa mteja Bali ktk mauzo. Let's bidhaa uuze upate pesa
 
Leo tarehe 23.02.2022 mkurugenzi wa TANESCO, MAHARAGE CHANDE ameongea na vyombo vya habari kwa kueleza umma kuwa hakuna umeme wa tsh 27, 000/= tuache kupeana maneno matamu matamu katika kuendesha shirika hilo. Amesema ni vigumu sana kutofautisha mjini na vijijini kwani wote wanahitaji huduma hiyo kitu ambacho inasababisha shirika hilo kujiendesha kwa hasara kubwa!

Aidha kwa maoni yangu waziri wa nishati na Naibu wake je wakati wakiwasilisha taarifa mbalimbali za utendaji wa shirika hilo hawakai na wataalamu wakaambiwa kuhusu bei hizo za kuunganishiwa umeme?

Kutokana na kauli hizo kati ya waziri na mkurugenzi wa Tanesco ni kauli zipi ambazo umma utakuja kuziamini kutokana na mkanga'nyiko huo ambao hauleweki wa umeme wa tsh 27,000/=?

Ni hatari sana kwa mkurugenzi wa Tanesco kuambia umma kuwa unawezaje kununua tv ya sh 1,000,000/= halafu uhitaji umeme wa tsh 27000/= akumbuke kuwa hii nchi ni ya kwetu sote hata hivyo kutokana na nyakati tulizopo tulihitaji umeme wa gharama ya chini na siyo kukatisha tamaa umma kuwa hakuna umeme wa tsh 27,000/=.

Kwa hali hiyo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ana kila sababu kufatilia kwa karibu utendaji wa shiraka hilo na Wizara ya Nishati kwa ujumla kwani tayari wananchi wameshaanza kutokuwa na imani na watendaji wa Tanesco na wizara husika.
Kule ng 'ambo ya pili nguzo hazilipiwi na hakuna misitu ya nguzo wala viwanda
Huku zinakozalishwa nguzo bei juu, nini kimefichama nyuma ya pazia?
 
Kama POMBE. Alikuwa anadanganya wajinga wenzake na leo wanaamini kwamba ati kuunganisha umeme ni 27000 tu.
Hovyoooo
Anadanganya wajinga wenzake?ameunganisha kwa miaka mitatu hivi na bila kufa huu mjadala usingekuwapo, JPM alikuwa na akili sana na hiyo ni hasara kwa nchi hii,unanunuaje nguzo zinabaki kuwa Mali ya muuzaji Kama siyo uhuni tu.
 
Ila kiuhalisia hiyo bei ni hasara kwa shirika
Inakuwaje hasara wakati tunaendelea kulipia umeme.

Gharama yenyewe ya kutumia huo umeme ni kubwa.

Hawa jamaa wasidhani watanzania ni washamba.

Mbona kipindi cha mwendazake hawakuwa na huu ujinga.
 
Naomba majibu haya :-

Nguzo ni mali ya nani?
Luku / Mita ni mali ya nani?
Tanesco ni Profit au Business oriented?

Je hawajui kwamba pesa watakusanya zaidi wakiwa na wateja wengi zaidi ?. Umeme sio kama mchele unachota kadri unavyotaka ukiwa na megawatts za kutosha (unazalisha inabidi zitumike) unless otherwise hakuna sababu ya kuongeza ma-Megawatt ya kutosha iwapo mahitaji sio makubwa hivyo.

Tukimaliza Bwawa la Nyerere (if ever....) hizo Megawatt tutazitumia wapi?
Kuzalisha na kugawa umeme ni gharama. Kuunganisha umeme ni gharama pia.
Kuuza umeme ni mapato.
Haidhuru ukisema huduma au biashara. Msingi ni uleule.

Wakata gharama zinazidi mapato, unapata hasara. Wakati mapato yanazidi gharama, unapata faida.
Wakati unaanza kujenga nyaya za kugawa umeme na kuunganisha nyumba, gharama zinazidi. Si jambo la wiki mbili hadi mapato yanapanda. Kwa hiyo: ni kipindi cha hasara kwanza. Kwa miaka mingapi?

Swali kuu: nani atagharamia hasara?
Hapa ni rahisi kwa mwanasiasa (kama marehemu) kusema: unganisha kwa 27,000!

Katika nchi pasipo na kupinga hoja la mkubwa mtendaji atasema basi, nifanye.
Atafanya mara kadhaa, halafu hasara itamshinda. Hana hela tena kwa vipuli na nyaya.

Kama mwanasiasa anaagiza, aeleze nani atagharamia.
Kama mwananchi anamshangilia kiongozi huyu bila kuuliza kuhusu sali la gharama za ahadi, aibu yake.
 
Back
Top Bottom