Mahangaiko yameanza

Mahangaiko yameanza

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,015
Reaction score
828,775
TAARIFA KWA UMMA

Uongozi wa Jambo TV unakanusha kwa nguvu zote taarifa inayosambaa mtandaoni ikionesha picha yenye nembo ya Jambo TV na kichwa cha habari kisemacho “REDBRIGEDI WA CHADEMA AJIFANYA ASKARI WA JWTZ, POLEPOLE AHUSISHWA.”

Tunapenda kufafanua kuwa taarifa hiyo siyo chapisho halali la Jambo TV, wala haijawahi kuchapishwa kwenye majukwaa yetu rasmi ya habari. Taarifa hiyo ni ya kughushi kwa kutumia nembo na jina la Jambo TV kinyume cha sheria.

Jambo TV haina uhusiano wowote na chanzo kilichoeneza taarifa hiyo, na tunaendelea kufuatilia kwa kushirikiana na mamlaka husika ili hatua stahiki zichukuliwe kwa wahusika wa upotoshaji huu.

Tunatoa wito kwa wananchi na wafuasi wa vyama vyote vya siasa kuepuka kusambaza taarifa zisizothibitishwa na kuhakikisha wanapata habari kupitia vyanzo rasmi vya Jambo TV pekee.

Tunaendelea kushikamana na misingi ya ukweli, weledi na uwajibikaji katika utoaji wa habari kwa umma.

Imetolewa na:
JAMBO TV
Oktoba 4, 2025.
FB_IMG_1759599561710.jpg
 
TAARIFA KWA UMMA

Uongozi wa Jambo TV unakanusha kwa nguvu zote taarifa inayosambaa mtandaoni ikionesha picha yenye nembo ya Jambo TV na kichwa cha habari kisemacho “REDBRIGEDI WA CHADEMA AJIFANYA ASKARI WA JWTZ, POLEPOLE AHUSISHWA.”

Tunapenda kufafanua kuwa taarifa hiyo siyo chapisho halali la Jambo TV, wala haijawahi kuchapishwa kwenye majukwaa yetu rasmi ya habari. Taarifa hiyo ni ya kughushi kwa kutumia nembo na jina la Jambo TV kinyume cha sheria.

Jambo TV haina uhusiano wowote na chanzo kilichoeneza taarifa hiyo, na tunaendelea kufuatilia kwa kushirikiana na mamlaka husika ili hatua stahiki zichukuliwe kwa wahusika wa upotoshaji huu.

Tunatoa wito kwa wananchi na wafuasi wa vyama vyote vya siasa kuepuka kusambaza taarifa zisizothibitishwa na kuhakikisha wanapata habari kupitia vyanzo rasmi vya Jambo TV pekee.

Tunaendelea kushikamana na misingi ya ukweli, weledi na uwajibikaji katika utoaji wa habari kwa umma.

Imetolewa na:
JAMBO TV
Oktoba 4, 2025.View attachment 3483387
Red brigade tena?
 
Yaani mtu mmoja samia anataka kuingiza nchi kwenye matatizo wananchi hawamtaki kwanini kulazimisha au anataka kuuza nchi huyu au kunamaslahi ya watu analinda asee sijaona king'ang'a kama huyu mama
 
TAARIFA KWA UMMA

Uongozi wa Jambo TV unakanusha kwa nguvu zote taarifa inayosambaa mtandaoni ikionesha picha yenye nembo ya Jambo TV na kichwa cha habari kisemacho “REDBRIGEDI WA CHADEMA AJIFANYA ASKARI WA JWTZ, POLEPOLE AHUSISHWA.”

Tunapenda kufafanua kuwa taarifa hiyo siyo chapisho halali la Jambo TV, wala haijawahi kuchapishwa kwenye majukwaa yetu rasmi ya habari. Taarifa hiyo ni ya kughushi kwa kutumia nembo na jina la Jambo TV kinyume cha sheria.

Jambo TV haina uhusiano wowote na chanzo kilichoeneza taarifa hiyo, na tunaendelea kufuatilia kwa kushirikiana na mamlaka husika ili hatua stahiki zichukuliwe kwa wahusika wa upotoshaji huu.

Tunatoa wito kwa wananchi na wafuasi wa vyama vyote vya siasa kuepuka kusambaza taarifa zisizothibitishwa na kuhakikisha wanapata habari kupitia vyanzo rasmi vya Jambo TV pekee.

Tunaendelea kushikamana na misingi ya ukweli, weledi na uwajibikaji katika utoaji wa habari kwa umma.

Imetolewa na:
JAMBO TV
Oktoba 4, 2025.View attachment 3483387
Muda wa ukombozi ni sasa
 
Back
Top Bottom