Mahanga: Fukuzeni Waitara Ukonga

Mahanga: Fukuzeni Waitara Ukonga

Anachoongea Makongoro Mahanga ni ukweli mtupu.
Waitara hatakiwi kurudi Bungeni tena kwa kura za watu walewale waliompigia kura 2015 na leo amewasaliti.......kitendo cha kumrudisha Bungeni hakika ni undondocha wa kiwango cha lami...!!
NO VOTE FOR MRISYA WAITARA.....mwambieni arudi kijijini akare kichuri....nyambaf>
Ohoooo !!!!
 
Hivi Waitara kweli ni mtu wa mkoa wa Mara? Kwani wanaume wa mkoa huu nao hukubali kununuliwa na mwanaume mwenzake? Tena "anakubali" kwa kimwanaume chenyewe ni cha aina ya Polex2. Siku zote watu wa Mkoa wa Mara yaani wanaume kwa wanawake si warahisi kiasi cha Waitara. Ni watu jasiri kweli kweli, wapambanaji kweli kweli. Nini kimemtokea Waitara? Amenogewa na Polex2? Kweli huyu wa kumfukuza na kumzomea kila anapoonekana. Waitara umewadhalilisha watu wa Mkoa wa Mara. Afadhali apate cheo cha kuteuliwa na siyo kuchaguliwa. Sisi wana Ukonga siyo wajinga, tutakumwaga tu.
 
Kuhama chama hatukatai lakini kutuingiza kwenye gharama ya kukuchagua tena wewe mwenyewe uliyeamua kuacha kazi htutaki. Nyalandu aliamua kuachana na ubunge na hakurudi kuomba tena kuchaguliwa kwenye kazi aliyoikataa, Lowassa, Sumaye, Mahanga na wengine wengi waliotoka utumwani CCM hawakuliingizia taifa hasara yoyote. Hawa wa sitaki nataka tuwakatae kabisa.
 
Nlimuangalia mgombea wa chadema juzi kwenye kampeni huku ukonga, aisee hadi huruma. Japo walikuwa wanampitisha kwenye gari la wazi lkn wananchi wakikuwa wanaona kama anaopiga sijui nani, yani hawana habari nae kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eti Waitara alinunuliwa pikipiki hana shukurani.jamani Waitara sio saizi ya pikipiki wewe diwani Tunga Uongo mwingine ni sawa Na kusema alinunuliwa baiskeli hana shukurani!!!!!!
Kabla ya kuwa mbunge Waitara alikuwa Mwenyekiti wa kijiji huko Majohe ( sijui kama aliuacha ) , hakuwa hata na Baiskeli ya Mbao .
 
Kabla ya kuwa mbunge Waitara alikuwa Mwenyekiti wa kijiji huko Majohe ( sijui kama aliuacha ) , hakuwa hata na Baiskeli ya Mbao .
Wewe kashika vyeo vikubwa sana CCM.Ana digrii acha uzushi Tanzania haijawahi kuwa Na mwenyekiti wa Kijiji mwenye digrii
 
Na kingine cha kuwafanya mnakijua wenyewe........."""au mnataka kufanya kama ya Akwwilina???sidhani kama dola ikitaka kutumia nguvu mnaweza mkashindana mkashinda!! Chungeni midomo yenu!!
 
Wanasiasa Wa jamii ya Mahanga nao ni Wa kuwabondabonda tu,amesahau 2010 alivyomuibia kura Mpendazoe hadi jimbo lake likawa ni miongoni mwa majimbo ya mwisho kutangaza matokeo tena usiku Wa manane huku umeme ukiwa umekatwa!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe kashika vyeo vikubwa sana CCM.Ana digrii acha uzushi Tanzania haijawahi kuwa Na mwenyekiti wa Kijiji mwenye digrii
Hutaki unaacha mkuu , Digrii kitu gani mjomba ? mtoto wa Lubuva ana digrii 2 na ni mwenyekiti wa serikali ya mtaa Oysterbay .
 
Kwanini wasimfukuze yeye aliyekiri hadharani kuiba kura.
 
Back
Top Bottom