gifted mind JF-Expert Member Joined Mar 18, 2014 Posts 344 Reaction score 203 Mar 30, 2014 #1 naomba kujuzwa tofauti kati ya hakimu mkazi na hakimu mfawidhi na hakimu wa kawaida...
Nyani Ngabu Platinum Member Joined May 15, 2006 Posts 98,018 Reaction score 142,883 Mar 30, 2014 #2 Mahamaka ndo nini ndugu Gifted Mind?
O ODILI SAMALU JF-Expert Member Joined Dec 13, 2013 Posts 1,369 Reaction score 489 Mar 31, 2014 #3 hakimu mkazi ni hakimu yoyote mwenye shahada ya kwanza ya sheria, Hakimu mfawidhi ni kiongozi wa mahakama mfano.hakimu mkazi mfawidhi wa wilaya ya ngara,tanga etc
hakimu mkazi ni hakimu yoyote mwenye shahada ya kwanza ya sheria, Hakimu mfawidhi ni kiongozi wa mahakama mfano.hakimu mkazi mfawidhi wa wilaya ya ngara,tanga etc