Sijali
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 2,553
- 1,642
Tunajua Tanzania mahakama ziko influenced na Wanasiasa. Owongo kwamba mahakama ziko huru.
Hata hivyo, namshaurui Dr Slaa afungue kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi-au haiwezekani kikatiba?
Kama haiwezekani, kama walivyosema baadhi hapa, basi kweli katikba yetu pia 'imechakachuliwa'
Hata hivyo, namshaurui Dr Slaa afungue kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi-au haiwezekani kikatiba?
Kama haiwezekani, kama walivyosema baadhi hapa, basi kweli katikba yetu pia 'imechakachuliwa'