Kasimba G
JF-Expert Member
- Jan 19, 2011
- 3,428
- 2,609
Wakati mfumo wa vyama vingi unaanza, kulikuwa na mwamko wa namna Fulani uliopelekea hata mabadirioi katika mahakama zetu. Kuna kesi nyingi tata zilitafutiwa ufumbuzi kwa kimtazamo wa sheria pamoja na publick interest, kesi kama ya Mtikila, Mgombea binafsi e.t.c.
Kwa wakati huu, mambo yanabadirika taratibu, tunarudi katika kipindi cha zamani ambacho Administrators ndio wenye kila kitu, bunge, mahakama, na chama kushika hatamu! Kesi ya lema ilikuwa na publick intrest kiasi cha kuwa watu wengi, being lawyers na publick kwa ujumla tuliifuatilia kwa kina, sijaona bado hukumu lakini kama report tulizipata! Kama hukumu ndio hiyo there must be a mistake somewhere!
Unajua kesi za publick interest watu wa kariba mbalimbali hufuatilia, inatakiwa hukumu ya jinsi hiyohiyo ya publick! Nina wasiwasi na mahakama zetu siku hizi, ila Waangalie You might be in for a while! Why cant you be in for ever? That the rest of the generations will remember how the Mortal you have been, Why cant we avoid the cheap things?
Kwa wakati huu, mambo yanabadirika taratibu, tunarudi katika kipindi cha zamani ambacho Administrators ndio wenye kila kitu, bunge, mahakama, na chama kushika hatamu! Kesi ya lema ilikuwa na publick intrest kiasi cha kuwa watu wengi, being lawyers na publick kwa ujumla tuliifuatilia kwa kina, sijaona bado hukumu lakini kama report tulizipata! Kama hukumu ndio hiyo there must be a mistake somewhere!
Unajua kesi za publick interest watu wa kariba mbalimbali hufuatilia, inatakiwa hukumu ya jinsi hiyohiyo ya publick! Nina wasiwasi na mahakama zetu siku hizi, ila Waangalie You might be in for a while! Why cant you be in for ever? That the rest of the generations will remember how the Mortal you have been, Why cant we avoid the cheap things?