johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,959
- 141,954
Nimetoka kufuatilia rufaa ya serikali ya Kenya katika ile kesi ya BBI.
Natamani mchakato wa katiba mpya ya Tanzania uzingatie pia uwepo wa uhuru wa mahakama.
Mungu ni mwema wakati wote!
Natamani mchakato wa katiba mpya ya Tanzania uzingatie pia uwepo wa uhuru wa mahakama.
Mungu ni mwema wakati wote!