Jif
Jifariji kijana nyie ni wale mnaitwa wapambe mnao tembea nyuma ya watu na kusifia ili mpate chakula na vibia mnywe kisha mkalale kusikojulikana.
Endelea kumsifia pengine utalewa siku moja pesa yake.
Wakati akiwa NSSF ni matokeo gani alifanya huko, kununua viwanja heka milioni mia saba?
Na hakuzuia.